Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Magu ajitosa mgogoro mradi wa maji Nyanguge

SAKATA la Halmahauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, kudaiwa kupuuza na kukaidi amri iliyotolewa na serikali ya kutaka kufutwa na kutangazwa upya zabuni ya mradi mkubwa wa maji ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.

Meneja wa Kanda ya Ziwa Kampuni ya Lugumi Enterprises LTD inayomiliki makampui ya Ran IT Solutions (EA) LTD na KZ Securty, Eligod Justine Sangawe (kushoto) ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wake Bw. Said Lugumi, kukabidhi msaada wa Pump ya maji inayotumia umeme na fedha taslimu shilingi milioni kumi kwa Afisa Elimu Takwimu (W) Sekondari bw. John M. Mangu  katika makabidhiano yaliyofanyika viwanja vya shule ya Sekondari ya Magu. Meneja wa Kanda ya Ziwa Kampuni ya Lugumi Enterprises LTD...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee Magu waanzisha mradi

WAZEE wa Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, wameanzisha miradi mbalimbali ya kiuchumi kwa ufadhili wa Shirika la Maperece linalojishughulisha na kutetea haki za wazee. Akizungumza na waandishi wa habari katika...

 

10 years ago

Mwananchi

DC ajitosa mgogoro wa GGM na wananchi

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Geita (GGM) imeshauriwa kukaa meza moja na wananchi wanaoishi jirani na mgodi wake ili kutafuta ufumbuzi wa tatizo linalolalamikiwa la ulipuaji wa miamba.

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi ajitosa mgogoro wa Efatha

Waziri wa Ardhi na Makazi , William Lukuvi WAZIRI wa Ardhi na Makazi , William Lukuvi amesema serikali itatoa uamuzi wa mgogoro wa shamba la Malonje na vijiji 10 vinavyolizunguka kabla ya Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA

Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.… ...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda


 Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.Mkuu wa Msafara wa Timu ya Ulipaji fidia kwa Wakazi walio katika Eneo la Mradi Mhandisi John...

 

11 years ago

GPL

MAGU: INAPAKANA NA ZIWA VICTORIA LAKINI MAJI HAKUNA

Mheshimiwa Dk. Festus Bulugu Limbu (katikati) akifafanua jambo. Makala: Gabriel Ng’osha Magu ni moja kati ya wilaya saba zinazounda Mkoa wa Mwanza. Pia ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Dk. Festus Bulugu Limbu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi. Upande wa Kaskazini, Magu inapakana na Ziwa Victoria, Kusini inapakana na Wilaya za Kwimba, Misungwi na Mkoa wa Shinyanga kwa upande wa Mashariki. Uwazi lilichanja...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UIMARISHAJI MRADI WA MAJI SAFI MAKUNDUCHI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya maji safi (ZAWA) Dkt. Mustafa Ali Garu (kulia) wakati alipotembelea Uimarishaji wa mradi wa maji safi na salama wa uchimbaji wa Kisima kipya na ukarabati wa tangi la maji Makunduchi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Unguja leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Magu waombwa kuchagua viongozi watakao tatua changamoto ya maji.

Wakazi wa Magu mkoani Mwanza wameelezwa kuwa njia pekee ya kutatua matatizo ya kijamii ikiwemo ukosefu wa maji katika jimbo hilo ni kuchagua viongozi wanaokerwa na matatizo yanayoikumba jamii nzima na sio tatizo la mtu mmojammoja.

Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu amesema jimbo la Magu linakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo tatizo la maji ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka pamoja na changamoto mbalimbali zinazo ikabili jamii..

 Katika ufunguzi wa kampeni katika jimbo la Magu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani