Wazee Magu waanzisha mradi
WAZEE wa Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, wameanzisha miradi mbalimbali ya kiuchumi kwa ufadhili wa Shirika la Maperece linalojishughulisha na kutetea haki za wazee. Akizungumza na waandishi wa habari katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Wazee Magu wabuni miradi ya kiuchumi
“HIVI karibuni tunategemea kuanza kutengeneza matenki ya kuwekea maji yenye lita za ujazo 2,000. Tutaiomba Ofisi ya Mkurugenzi itupe tenda ya kusambaza kwenye shule zote hapa Magu. “Pia tunao mradi...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
DC Magu ajitosa mgogoro mradi wa maji Nyanguge
SAKATA la Halmahauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, kudaiwa kupuuza na kukaidi amri iliyotolewa na serikali ya kutaka kufutwa na kutangazwa upya zabuni ya mradi mkubwa wa maji ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s72-c/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-56yGXK3Z8Bg/Ux7XpPgzyDI/AAAAAAAA0Xk/F273sQf6TGU/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD.jpg)
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Waanzisha kampeni ya amani
TAASISI ya Suleiman Kova Security and Disaster Management (SUKOS) imeanzisha kampeni maalumu ya kudumisha amani na upendo. Kampeni hiyo inakuja baada ya wadau wa taasisi hiyo kusema kuwa wameona nchi imeanza kuonesha viashiria vya kutoweka kwa amani kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa ajira pamoja na ugumu wa maisha.
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
BAWACHA waanzisha Vicoba
BARAZA la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) tawi la Tabata Msimbazi limeanzisha vicoba kwa ajili ya kusaidiana ambapo hadi sasa wamekusanya sh milioni 1.9 katika harambee iliyofanyika...
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Wanahabari waanzisha Saccos
KLABU ya waandishi wa habari mkoani hapa imekamilisha hatua muhimu katika kuanzisha chama cha kuweka na kukopa kwa wanahabari na wadau wao kitakachojulikana kama Mtwara Media Saccos. Mwenyekiti wa klabu...
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Taliban waanzisha mapigano Afghanistan