Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAWACHA waanzisha Vicoba

BARAZA la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) tawi la Tabata Msimbazi limeanzisha vicoba kwa ajili ya kusaidiana ambapo hadi sasa wamekusanya sh milioni 1.9 katika harambee iliyofanyika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA

Mratibu wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akimkaribisha mgeni rasmi wa uzinduzi wa Kana vicoba Group Bw Aloyce Ntukamazina kwa kumueleza machache kabla ya uzinduzi rasmi, aliye katikati ni meneja wa GEPF mkoa wa kinondoni Bw Mohammed Nyallo.Mratibu wa Umoja wa Vikoba wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akelezea mafanikio na matarajio ya Umoja wa Uyacode wenye jumla ya wanachama 27,000 na ofisi katika mikoa 18 ya Tanzania Bara na mmoja wa Zanzibar Mkuu wa Kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachama vicoba washauriwa

WANACHAMA wa vikundi vya kuweka na kukopa (VIKOBA) mkoani Arusha wametakiwa kupanga na kutumia vizuri fedha wanazokusanya ili ziwasaidie kutoka daraja moja hadi jingine katika maisha yao. Kauli hiyo ilitolewa...

 

9 years ago

Habarileo

Waanzisha kampeni ya amani

TAASISI ya Suleiman Kova Security and Disaster Management (SUKOS) imeanzisha kampeni maalumu ya kudumisha amani na upendo. Kampeni hiyo inakuja baada ya wadau wa taasisi hiyo kusema kuwa wameona nchi imeanza kuonesha viashiria vya kutoweka kwa amani kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa ajira pamoja na ugumu wa maisha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanahabari waanzisha Saccos

KLABU ya waandishi wa habari mkoani hapa imekamilisha hatua muhimu katika kuanzisha chama cha kuweka na kukopa kwa wanahabari na wadau wao kitakachojulikana kama Mtwara Media Saccos. Mwenyekiti wa klabu...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

We Should Value VICOBA for Their Great Worth


We Should Value VICOBA for Their Great Worth
AllAfrica.com
The National Economic Empowerment Council (NEEC) established in 2005, oversees, coordinates and monitors economic empowerment in Tanzania. In the past eight months, the council has engaged in various high-profile public activities that included the ...

 

11 years ago

Mwananchi

Liwale washauriwa kujiunga na Vicoba

Wajasiriamali Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi wameaswa kujiunga na Vicoba na kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo waliojiwekea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Taliban waanzisha mapigano Afghanistan

Serikali ya Afghanistan imesema mamia ya wapiganaji wa Taliban wamevamia na kuanzisha mapigano nchini humo.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ushirika, Vicoba zingatieni sheria’

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amevitaka vyama vya ushirika na vikundi vya Benki za Jamii Vijijini (Vicoba), kuzingatia sheria na kanuni za ushirika ili kuchangia ukuaji wa uchumi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vicoba 170 vyaanzishwa Lushoto

JUMLA ya vikundi vya Vicoba 170 vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 600 vimeanzishwa wilayani hapa kuanzia  mwaka 2005 hadi 2009. Mratibu wa Vicoba Wilaya ya Lushoto, Hande Mwanjela,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani