Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachama vicoba washauriwa

WANACHAMA wa vikundi vya kuweka na kukopa (VIKOBA) mkoani Arusha wametakiwa kupanga na kutumia vizuri fedha wanazokusanya ili ziwasaidie kutoka daraja moja hadi jingine katika maisha yao. Kauli hiyo ilitolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA

Mratibu wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akimkaribisha mgeni rasmi wa uzinduzi wa Kana vicoba Group Bw Aloyce Ntukamazina kwa kumueleza machache kabla ya uzinduzi rasmi, aliye katikati ni meneja wa GEPF mkoa wa kinondoni Bw Mohammed Nyallo.Mratibu wa Umoja wa Vikoba wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akelezea mafanikio na matarajio ya Umoja wa Uyacode wenye jumla ya wanachama 27,000 na ofisi katika mikoa 18 ya Tanzania Bara na mmoja wa Zanzibar Mkuu wa Kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce...

 

11 years ago

Mwananchi

Vicoba washauriwa kujiunga na Saccos

Wanachama wa Vicoba wameshauriwa kujiunga na Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwawezesha kunufaika na fursa katika mifuko ya hifadhi ya jamii na hatimaye kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza vikundi vyao.

 

11 years ago

Mwananchi

Liwale washauriwa kujiunga na Vicoba

Wajasiriamali Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi wameaswa kujiunga na Vicoba na kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo waliojiwekea.

 

10 years ago

Vijimambo

Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.

Maafisa kutoka Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF)wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfukohuo.Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni "Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli"Wanachama wa VIKOBA mkoa wa Arusha wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF).Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni "Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli".(Picha na...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

We Should Value VICOBA for Their Great Worth


We Should Value VICOBA for Their Great Worth
AllAfrica.com
The National Economic Empowerment Council (NEEC) established in 2005, oversees, coordinates and monitors economic empowerment in Tanzania. In the past eight months, the council has engaged in various high-profile public activities that included the ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAWACHA waanzisha Vicoba

BARAZA la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) tawi la Tabata Msimbazi limeanzisha vicoba kwa ajili ya kusaidiana ambapo hadi sasa wamekusanya sh milioni 1.9 katika harambee iliyofanyika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vicoba 170 vyaanzishwa Lushoto

JUMLA ya vikundi vya Vicoba 170 vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 600 vimeanzishwa wilayani hapa kuanzia  mwaka 2005 hadi 2009. Mratibu wa Vicoba Wilaya ya Lushoto, Hande Mwanjela,...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ushirika, Vicoba zingatieni sheria’

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amevitaka vyama vya ushirika na vikundi vya Benki za Jamii Vijijini (Vicoba), kuzingatia sheria na kanuni za ushirika ili kuchangia ukuaji wa uchumi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPB kuiwezesha Vicoba kiuchumi

MITAJI ni changamoto kubwa inayowakabili wajasiriamali na kushindwa kukopesheka katika taasisi za fedha zenye masharti magumu. Baadhi ya masharti hayo ni mali isiyohamishika kama nyumba na kiwanja jambo ambalo wajasiriamali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani