mbunge wa chalinze aweka jiwe la msingi la nyumba za walimu, akagua ujenzi wa zahanati Lugoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-qSh1hjqRM_w/U9K8ejXEv-I/AAAAAAAF6Zg/tkhZvDF2zvY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Mbunge wa Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akielekea kuweka jiwe la msingi katika nyumba ya walimu iliyojengwa kutokana na michango ya wadau mbalimbali ikiwamo ofisi ya Mbunge wa Chalinze
Mbunge wa Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bagamoyo ndugu Samuel Saliyanga wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Kinzagu, kata ya Lugoba
Jengo jipya la Zahanati linaloendelea kujengwa katika kijiji cha Kinzagu, kata ya Lugoba Jimbo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Jun
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA 50 ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC MJINI KAHAMA
![New Picture (7)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-7.png)
![New Picture (2)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-2.png)
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-7.png)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA 50 ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC MJINI KAHAMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ONx6AI1isGk/U_WqfmiBIKI/AAAAAAAGBFY/RRB-6ksra0Y/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA DARAJA LA KILOMBERO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ONx6AI1isGk/U_WqfmiBIKI/AAAAAAAGBFY/RRB-6ksra0Y/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w7CMGL8y0cI/U_Wqh-kYvpI/AAAAAAAGBFw/o_8b2yABlUE/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug4aTviLuwA/ViaVCPmw0HI/AAAAAAAIBXc/P4SwbQ-tYDs/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA NATIONAL DEFENCE HEADQUARTERS
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mh. Lukuvi aweka jiwe la msingi nyumba 50 za gharama nafuu za NHC mjini Kahama
Hizi ni miongoni mwa nyumba 50 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC katika mtaa wa Bukondamoyo kata ya Mhungula katika halmashauri ya Mji Kahama mkoani Shinyanga. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Mh.William Vangimembe Lukuvi ameweka jiwe la msingi katika nyumba hizo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Mh.William Vangimembe Lukuvi akiwasili kuweka jiwe la msingi zilizojengwa na NHC eneo la Bukondamoyo Mjini Kahama.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na...
9 years ago
VijimamboDK. SHEIN AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA HOSPITALI YA ABDALLAH MZEE MKOANI PEMBA
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MBANDE-KONGWA 16.5KM