SERIKALI YATENGA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA NYUMBA ZA WALIMU
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Serikali yatenga mil. 500/- nyumba za walimu
SERIKALI imetenga sh milioni 500 kwa halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za walimu. Rais Jakaya Kikwete alitoa kauli hiyo juzi kwa wananchi wa Tanga wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2VCDOZMJXYU/VAhmNF34IaI/AAAAAAAGd68/A8fZSzzf-ww/s72-c/bangalo%2B2.jpg)
Serikali yaanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa nyumba 10,000 kwa ajili ya makazi ya wanajeshi
![](http://2.bp.blogspot.com/-2VCDOZMJXYU/VAhmNF34IaI/AAAAAAAGd68/A8fZSzzf-ww/s1600/bangalo%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5CZ0U3Dtdl4/VAhmO5GnQdI/AAAAAAAGd7I/YShZXbOIhJ0/s1600/bangaloo%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QJIr7rv9Eao/VAhmJFEbH9I/AAAAAAAGd6g/807l5rxpdfE/s1600/M1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dEkB7UlmzW4/VPL5zZwaNLI/AAAAAAAHGuw/k_iQovqneYU/s72-c/1.jpg)
SERIKALI YA JAMHURI YA KOREA YAKUBALI KUTOA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA SALENDER
![](http://4.bp.blogspot.com/-dEkB7UlmzW4/VPL5zZwaNLI/AAAAAAAHGuw/k_iQovqneYU/s1600/1.jpg)
10 years ago
StarTV15 Apr
Serikali yatenga tani 13,630 kwa ajili ya chakula cha njaa.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali imesema inaendelea na zoezi la usambazaji wa chakula cha njaa kwenye maeneo yaliyotathminiwa kuwa na upungufu wa chakula ambapo jumla ya tani 13,630 zimetengwa kwa ajili ya zoezi hilo na tayari tani 7,560 zimekwishasambazwa kwa walengwa.
Miongoni mwa mikoa hiyo ni pamoja na Arusha, Kilimanjaro, Simiyu, Manyara, Tabora, Mara, Kagera, Lindi, Mtwara, Morogoro, Singida na Katavi.
Uzalishaji wa mazao ya chakula katika msimu wa 2013/14 ulifikia...
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Serikali yatenga hekta 1,363 kwa aajili ya ujenzi wa viwanda Tanga
![370](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/370.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Jan
Serikali yatenga fungu nono kulipa madeni ya walimu
FUNGU nono limetengwa kwa ajili ya walimu wanaodai malimbikizo ya mishahara na masurufu.
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI AKAGUA MIRADI YA NYUMBA ZA TBA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Serikali yatenga trilioni 14/- ujenzi wa reli ya kisasa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetenga Sh trilioni 14 kwa ajili ya kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha kisasa cha ‘Standard Gauge’, ambao utakuwa mradi mkubwa kutekelezwa na Serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema reli hiyo mpya itakuwa tofauti na nyingine na yenye uwezo wa kimataifa kutokana na kuchukua mabehewa ya ghorofa, ambapo itaanzia Dar es Salaam hadi...
10 years ago
MichuziSerikali yatenga hekta 1,363 kwaaajili ya ujenzi wa viwanda Tanga
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maeneo ya EPZ pamoja na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) imeweka matayarisho na utaratibu wa kuvutia wawekezaji eneo la Tanga.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Omari Nundu, Mbunge wa Tanga Mjini.
“tayari Mamlaka ya EPZ imetenga hekta 1,363 katika eneo la Neema mkoani Tanga kwaajili ya ujenzi wa viwanda na uthamini wa mali umekamilika” alisema Mhe....