SERIKALI YA JAMHURI YA KOREA YAKUBALI KUTOA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA SALENDER
![](http://4.bp.blogspot.com/-dEkB7UlmzW4/VPL5zZwaNLI/AAAAAAAHGuw/k_iQovqneYU/s72-c/1.jpg)
Muonekano wa Daraja jipya la Salenda litaakalopita baharini kuanzia Coco Beachi (Oysterbay) kwenda Hospitali ya Aga Khan (Maeneo ya Ocean Road/ Baraka Obama Road). Daraja hilo pamoja na barabara zake, litakuwa na urefu wa kilomita 7.2 na uwezo wa kupitisha magari zaidi ya 61,000 kwa siku huku likiwa na njia nne za magari pamoja service road njia za waenda kwa miguu kila upande
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kulia akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini, Chung Il...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Mar
Korea Kusini kutoa fedha za daraja jipya Selander
SERIKALI ya Jamhuri ya Korea ya Kusini hatimaye imekubali kutoa fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi wa daraja jipya la kisasa la Selander.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dEkB7UlmzW4/VPL5zZwaNLI/AAAAAAAHGuw/k_iQovqneYU/s72-c/1.jpg)
MPANGO WA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA KISASA LA SALENDER WAKAMILIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dEkB7UlmzW4/VPL5zZwaNLI/AAAAAAAHGuw/k_iQovqneYU/s640/1.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Mar
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
10 years ago
MichuziTupo kwa ajili yako katika kutoa huduma bora za ujenzi DMV
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF1aa6p2yCvZUerqjLJEy2lwO3D5bqaAZAulisJgtABQAU4BglDEoLqFs7PwbCNqBC6vNcZBSiAtqp2nKmh23aMO/unnamed48.jpg?width=650)
BALOZI WA JAMHURI YA KOREA AMTEMBELEA WAZIRI WA UJENZI OFISINI KWAKE JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DMLMNDzIRRQ/VMd5D6rztYI/AAAAAAAG_sE/BIGKXBi3ptE/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
BALOZI WA JAMHURI YA KOREA AMTEMBELEA WAZIRI WA UJENZI OFISINI KWAKE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-DMLMNDzIRRQ/VMd5D6rztYI/AAAAAAAG_sE/BIGKXBi3ptE/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
9 years ago
StarTV28 Dec
Wananchi Mbeya waokoa fedha za Serikali kwa kujenga daraja
WANANCHI wa Vijiji cha Shongo na Izumbwe kata ya Igale Mbeya Vijijini wamefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 20 za Serikali katika kila kijiji baada ya kujenga kwa nguvu zao wenyewe madaraja mawili kwa kutumia mawe na miti bila ya kuweka nondo.
Madaraja hayo ambayo kwa mujibu wa Wataalam yangegharimu zaidi ya shilingi milioni 20 kwa kila moja endapo ujenzi wake ungefuata taratibu za Kiserikali, yamejengwa kwa gharama ya shilingi milioni Tano kila moja fedha zilizochangwa na wananchi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2VCDOZMJXYU/VAhmNF34IaI/AAAAAAAGd68/A8fZSzzf-ww/s72-c/bangalo%2B2.jpg)
Serikali yaanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa nyumba 10,000 kwa ajili ya makazi ya wanajeshi
![](http://2.bp.blogspot.com/-2VCDOZMJXYU/VAhmNF34IaI/AAAAAAAGd68/A8fZSzzf-ww/s1600/bangalo%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5CZ0U3Dtdl4/VAhmO5GnQdI/AAAAAAAGd7I/YShZXbOIhJ0/s1600/bangaloo%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QJIr7rv9Eao/VAhmJFEbH9I/AAAAAAAGd6g/807l5rxpdfE/s1600/M1.jpg)