Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi Mbeya waokoa fedha za Serikali kwa kujenga daraja

WANANCHI wa Vijiji cha Shongo na Izumbwe kata ya Igale Mbeya Vijijini wamefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 20 za Serikali katika kila kijiji baada ya kujenga kwa nguvu zao wenyewe madaraja mawili kwa kutumia mawe na miti bila ya kuweka nondo.

Madaraja hayo ambayo kwa mujibu wa Wataalam yangegharimu zaidi ya shilingi milioni 20 kwa kila moja endapo ujenzi wake ungefuata taratibu za Kiserikali, yamejengwa kwa gharama ya shilingi milioni Tano kila moja fedha zilizochangwa na wananchi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wajitolea kujenga daraja

Wakazi wa Ukonga wameamua kujitolea kujenga daraja la muda eneo la Mongolandege baada ya lile la awali kusombwa na mafuriko kutokana na mvua za masika zinazoendelea kunyesha na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara maeneo hayo.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA JAMHURI YA KOREA YAKUBALI KUTOA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA SALENDER

Muonekano wa Daraja jipya la Salenda litaakalopita baharini kuanzia Coco Beachi (Oysterbay) kwenda Hospitali ya Aga Khan (Maeneo ya Ocean Road/ Baraka Obama Road). Daraja hilo pamoja na barabara zake, litakuwa na urefu wa kilomita 7.2 na uwezo wa kupitisha magari zaidi ya 61,000 kwa siku huku likiwa na njia nne za magari pamoja service road njia za waenda kwa miguu kila upandeWaziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kulia akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini, Chung Il...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

Vijimambo

CBE MBEYA RASMI KUJENGA CHUO IGANZO, WAKABIDHIANA MIKATABA NA WANANCHI.

Viongozi wa Kata ya Iganzo pamoja na Uongozi wa Chuo cha CBE wakiwa katika meza kuu wakati wa hafla ya kukabidhiana mikataba ya kuuziana ardhi.Mkuu wa Chuo cha CBE, Profesa Emmanuel Mjema akiwashukuru wakazi wa Iganzo kwa kukubali kutoa ardhi kwa ajili ya ujenzi wa Chuo.Katibu wa jumuiya ya Igomanzo, Aman Mwazumbe akieleza namna walivyokubaliana na uongozi wa Chuo na kuwakabidhi ardhi.Chief Ndele Wilson akitoa Baraka zake kwa uongozi wa Chuo cha CBE kuhusiana na kuendelea na ujenzi.Katibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yasaka fedha kujenga minara ya simu

SERIKALI imesema imeamua kutafuta fedha na kujenga minara yenyewe badala ya kuzitegemea kampuni za simu. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema wizara...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi

5

Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Juma Reli akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari za Fedha na Uchumi (hawapo pichani)  wakati wa ufunguzi wa semina hiyo jana mjini Bagamoyo, Mkoani Pwani, Kulia ni Mwenyekiti wa washiriki hao Bw. Thomas Chilala na Kushoto ni Meneja Uhusiano na Itifaki wa Benki Hiyo Bi Zalia Mbeo.

Frank Mvungi- Maelezo, Bagamoyo

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi ili kuongeza wigo wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kukamilika kwa daraja la Mbweni JKT latoa kicheko kwa wananchi!

Daraja lililokuwa linawasumbua mno wakazi na wananchi wa Mbweni JKT, sasa linaelekea mwishoni, hali iliyoanza kuwafurahisha wananchi hao waliokuwa wakisumbuka kuvuka eneo hilo lililokuwa linajaa maji mara kwa mara yanayotoka baharini.


Katika pita pita ya mitandaoni, tuliona picha hizi ambazo tayari zimeshapokewa kwa shangwe kutokana na wananchi hao kuanza kulitumia. Ikumbukwe kwamba kutokuwapo kwa daraja hili kulileta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kabla ya uwapo wa daraja hili, magari...

 

9 years ago

Michuzi

Kukamilika kwa daraja la Mbweni JKT ni furaha kwa wananchi

Daraja lililokuwa linawasumbua mno wakazi na wananchi wa Mbweni JKT, sasa linaelekea mwishoni, hali iliyoanza kuwafurahisha wananchi hao waliokuwa wakisumbuka kuvuka eneo hilo lililokuwa linajaa maji mara kwa mara yanayotoka baharini.

Katika pita pita ya mitandaoni, tuliona picha hizi ambazo tayari zimeshapokewa kwa shangwe kutokana na wananchi hao kuanza kulitumia. Ikumbukwe kwamba kutokuwapo kwa daraja hili kulileta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kabla ya uwapo wa daraja hili, magari...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kukosekana kwa Daraja katika Mto Saiwa wa kijiji cha Minyughe, kwawa kero kwa wananchi

IMG_0654

Diwani mteule (CCM) kata ya Minyughe (wa tatu kushoto mwenye suti ya bluu) Samweli Daniel Sadiki, pamoja na wakazi wa kijiji cha Minyughe,wakiangalia gari aina ya fuso T.662 CBB la kampuni ya Pepsi lililosombwa na maji ya mvua katika mto Saiwa.

IMG_0664

Gari aina na fuso T.662 CBB  la kampuni ya Pepsi mjini Singida, likiwa limeangushwa na kusombwa na maji ya mvua katika mto Saiwa wa kijiji cha Minyughe wilaya ya Ikungi. Gari lililokuwa linasambaza soda katika vijiji vya kata ya Minyughe lipo mtoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani