CBE MBEYA RASMI KUJENGA CHUO IGANZO, WAKABIDHIANA MIKATABA NA WANANCHI.
Viongozi wa Kata ya Iganzo pamoja na Uongozi wa Chuo cha CBE wakiwa katika meza kuu wakati wa hafla ya kukabidhiana mikataba ya kuuziana ardhi.
Mkuu wa Chuo cha CBE, Profesa Emmanuel Mjema akiwashukuru wakazi wa Iganzo kwa kukubali kutoa ardhi kwa ajili ya ujenzi wa Chuo.
Katibu wa jumuiya ya Igomanzo, Aman Mwazumbe akieleza namna walivyokubaliana na uongozi wa Chuo na kuwakabidhi ardhi.
Chief Ndele Wilson akitoa Baraka zake kwa uongozi wa Chuo cha CBE kuhusiana na kuendelea na ujenzi.
Katibu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Dec
MAHAFALI YA 49 YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA(CBE) KAMPASI YA MBEYA YAFANA.
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Wahitimu wa CBE nyanda za juu kusini waadhimisha miaka 50 ya chuo hicho jijini Mbeya
Mkuu wa Mkoa Mstaafu wa Mbeya Mh. Johm Mwakangale ambaye ndiye Mgeni Rasmi katika Mkutano wa wahitimu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wanaoishi nyanda za Juu kusini waliowahi kusoma katika chuo hicho kuanzia mwaka 1965-2014 na yeye akiwa ni mmoja wa wanafunzi ambaye alisoma katika chuo hicho mwaka 1967 na ambaye pia alikuwa ni Mkufunzi katika chuo hiki na Mlezi wa Umoja wa wana CBE waishio nyanda za juu kusini akitoa hotuba yake ambapo, alikishukuru chuo cha CBE kwa kufanya mkutano huu...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x7MBfqsCBao/VkoisdmLuvI/AAAAAAAIGRQ/thMJ709rplc/s72-c/7abc2eaa-6a26-4eb7-995e-78fdd34900a0.jpg)
ALHAJ ALI HASSA MWINYI MGENI RASMI MAHAFALI YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x7MBfqsCBao/VkoisdmLuvI/AAAAAAAIGRQ/thMJ709rplc/s640/7abc2eaa-6a26-4eb7-995e-78fdd34900a0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9tM_0VU8TWU/Vkoiv7jhkDI/AAAAAAAIGRY/lhK9GiJK1Do/s640/a0ba7a04-d0e7-4da4-987c-f2ebc6d93d2a.jpg)
9 years ago
StarTV28 Dec
Wananchi Mbeya waokoa fedha za Serikali kwa kujenga daraja
WANANCHI wa Vijiji cha Shongo na Izumbwe kata ya Igale Mbeya Vijijini wamefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 20 za Serikali katika kila kijiji baada ya kujenga kwa nguvu zao wenyewe madaraja mawili kwa kutumia mawe na miti bila ya kuweka nondo.
Madaraja hayo ambayo kwa mujibu wa Wataalam yangegharimu zaidi ya shilingi milioni 20 kwa kila moja endapo ujenzi wake ungefuata taratibu za Kiserikali, yamejengwa kwa gharama ya shilingi milioni Tano kila moja fedha zilizochangwa na wananchi...
10 years ago
VijimamboHALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YATOA UFAFANUZI WA SINTOFAHAMU UKARABATI WA BARABARA YA IGANZO- KABWE.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s72-c/unnamed.jpg)
MKUU WA CHUO CHA CBE ATOA UFAFANUZI KUHUSU HABARI ZILIZOCHAPISHWA KWA LENGO LA KUUPOTOSHA UMMA KUHUSU CHUO CHAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s1600/unnamed.jpg)
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Mkuu wa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kampasi ya Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema amesema kuwa habari zilizoandikwa na kuchapishwa na gazeti moja la kila siku na baadhi ya mitandao ya kijamii...
11 years ago
Michuzi28 Mar
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Waziri Mkuu Mizengo Pinda afungua rasmi mafunzo ya Uongozi daraja la kwanza Chuo cha Magereza Kiwira,Mbeya
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Peter Pinda(katikati) akipokea Salaam kutoka kwa Gwaride lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi Daraja la Kwanza kwa Askari wa Jeshi la Magereza(hawapo pichani). Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja(kulia) ni Mkuu wa Chuo cha Magereza Kiwira, SACP. Stanford Ntirundura.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Peter Pinda akikagua Gwaride rasmi lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi wa Daraja la kwanza...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0LRSEl-Txjw/Vc_L7_t4r9I/AAAAAAAHxNA/R0uKyhRAztI/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA UONGOZI DARAJA LA KWANZA CHUO CHA MAGEREZA KIWIRA, MKOANI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0LRSEl-Txjw/Vc_L7_t4r9I/AAAAAAAHxNA/R0uKyhRAztI/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8i2N9W3Cr6s/Vc_L73c25WI/AAAAAAAHxNE/2wqrVmynvZw/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)