Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yasaka fedha kujenga minara ya simu

SERIKALI imesema imeamua kutafuta fedha na kujenga minara yenyewe badala ya kuzitegemea kampuni za simu. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema wizara...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yasaka wafadhili kujenga kiwanda Mkinga

SERIKALI inaandaa mpango wa kuomba wafadhili wa ndani na nje ya nchi utakaowawezesha kujengea kiwanda cha kubangulia korosho kwa wakulima wa zao hilo walayani Mkinga, Tanga. Ujenzi wa kiwanda hicho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yasaka fedha ujenzi barabara ya Njombe-Ludewa

SERIKALI imesema inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ludewa Mjini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, wakati akijibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Sh221bilioni kujenga minara 787 Tigo

Kampuni  ya mawasilano ya Tigo inatarawajia kuwekeza Dola million 120 ambao ni sawa na Sh221bilioni ndani ya mwaka 2015 kwa kupanua wigo wa mtandao ikiwa ni pamoja na kuweka minara 787 mipya nchini

 

10 years ago

Habarileo

Minara ya simu yaundiwa sheria

Januari Makamba.BUNGE limeelezwa kuwa, Serikali imetunga kanuni mpya za kudhibiti mitetemo na kelele za minara ya simu iliyo katika maeneo ya watu, kwa lengo la kuwafanya wahusika wa minara hiyo wawajibike kufanya jitihada kuzizuia.

 

11 years ago

Habarileo

Minara ya simu kuondolewa kwenye makazi

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema linaanza kupitia miradi mbalimbali, ikiwemo minara ya mawasiliano ya simu iliyojengwa kwenye makazi ya watu.

 

11 years ago

Mwananchi

Minara ya simu sababu ya raia kunyanyaswa Kagera

Mapato yanayotokana na ujenzi wa minara ya simu, yanadaiwa kuwa ndiyo chanzo cha kunyanyaswa kwa wakazi 41 wa Kijiji cha Murongo, wilayani Kyerwa katika Mkoa wa Kagera.

 

9 years ago

StarTV

Wananchi Mbeya waokoa fedha za Serikali kwa kujenga daraja

WANANCHI wa Vijiji cha Shongo na Izumbwe kata ya Igale Mbeya Vijijini wamefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 20 za Serikali katika kila kijiji baada ya kujenga kwa nguvu zao wenyewe madaraja mawili kwa kutumia mawe na miti bila ya kuweka nondo.

Madaraja hayo ambayo kwa mujibu wa Wataalam yangegharimu zaidi ya shilingi milioni 20 kwa kila moja endapo ujenzi wake ungefuata taratibu za Kiserikali, yamejengwa kwa gharama ya shilingi milioni Tano kila moja fedha zilizochangwa na wananchi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBF yasaka fedha Kombe la Mapinduzi

VIONGOZI wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), wanatafuta fedha za kuisafirisha timu ya taifa ya Tanzania Bara kwenda Zanzibar kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayoendelea visiwani humo....

 

10 years ago

Mwananchi

Z’bar yasaka fedha kulinda ubora

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inahitaji Sh12 bilioni kufanikisha kuondoa tatizo la ukosefu wa maabara za kuchunguza viwango vya ubora wa bidhaa zinazoingizwa hapa kabla ya kuuzwa katika soko la ndani la Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani