Serikali yasaka fedha kujenga minara ya simu
SERIKALI imesema imeamua kutafuta fedha na kujenga minara yenyewe badala ya kuzitegemea kampuni za simu. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema wizara...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Serikali yasaka wafadhili kujenga kiwanda Mkinga
SERIKALI inaandaa mpango wa kuomba wafadhili wa ndani na nje ya nchi utakaowawezesha kujengea kiwanda cha kubangulia korosho kwa wakulima wa zao hilo walayani Mkinga, Tanga. Ujenzi wa kiwanda hicho...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serikali yasaka fedha ujenzi barabara ya Njombe-Ludewa
SERIKALI imesema inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ludewa Mjini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, wakati akijibu...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Sh221bilioni kujenga minara 787 Tigo
10 years ago
Habarileo03 Jul
Minara ya simu yaundiwa sheria
BUNGE limeelezwa kuwa, Serikali imetunga kanuni mpya za kudhibiti mitetemo na kelele za minara ya simu iliyo katika maeneo ya watu, kwa lengo la kuwafanya wahusika wa minara hiyo wawajibike kufanya jitihada kuzizuia.
11 years ago
Habarileo04 Jul
Minara ya simu kuondolewa kwenye makazi
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema linaanza kupitia miradi mbalimbali, ikiwemo minara ya mawasiliano ya simu iliyojengwa kwenye makazi ya watu.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Minara ya simu sababu ya raia kunyanyaswa Kagera
9 years ago
StarTV28 Dec
Wananchi Mbeya waokoa fedha za Serikali kwa kujenga daraja
WANANCHI wa Vijiji cha Shongo na Izumbwe kata ya Igale Mbeya Vijijini wamefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 20 za Serikali katika kila kijiji baada ya kujenga kwa nguvu zao wenyewe madaraja mawili kwa kutumia mawe na miti bila ya kuweka nondo.
Madaraja hayo ambayo kwa mujibu wa Wataalam yangegharimu zaidi ya shilingi milioni 20 kwa kila moja endapo ujenzi wake ungefuata taratibu za Kiserikali, yamejengwa kwa gharama ya shilingi milioni Tano kila moja fedha zilizochangwa na wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
TBF yasaka fedha Kombe la Mapinduzi
VIONGOZI wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), wanatafuta fedha za kuisafirisha timu ya taifa ya Tanzania Bara kwenda Zanzibar kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayoendelea visiwani humo....
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Z’bar yasaka fedha kulinda ubora