Minara ya simu kuondolewa kwenye makazi
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema linaanza kupitia miradi mbalimbali, ikiwemo minara ya mawasiliano ya simu iliyojengwa kwenye makazi ya watu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Jul
Minara ya simu yaundiwa sheria
BUNGE limeelezwa kuwa, Serikali imetunga kanuni mpya za kudhibiti mitetemo na kelele za minara ya simu iliyo katika maeneo ya watu, kwa lengo la kuwafanya wahusika wa minara hiyo wawajibike kufanya jitihada kuzizuia.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Minara ya simu sababu ya raia kunyanyaswa Kagera
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Serikali yasaka fedha kujenga minara ya simu
SERIKALI imesema imeamua kutafuta fedha na kujenga minara yenyewe badala ya kuzitegemea kampuni za simu. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema wizara...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wamachinga kwenye foleni kuondolewa
MKURUGENZI wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amewataka wafanyabiashara wadogo (wamachinga) wanaouza bidhaa kwenye magari wakati wa foleni watafute maeneo rasmi, vinginevyo watakumbwa na operesheni safisha jiji inayoendelea....
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s72-c/13.jpg)
WAMACHINGA WANAOFANYA KAZI ZAO KWENYE VITUO VYA DALADALA NA MABASI DODOMA KUONDOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JshWNd58-SE/U4ntbcs_vFI/AAAAAAAAtRk/D79d1eBvgEg/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BRMEbBd198o/U4ntbYc2qUI/AAAAAAAAtRs/-xQ-kaCHXOc/s1600/15.jpg)
9 years ago
StarTV11 Nov
Mzee Juma Isangu aomba Serikali kumsaidia baada ya kuondolewa kwenye eneo lake
Serikali imeombwa kuingilia kati sakata la familia ya Mzee Juma Isangu mkazi wa Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha baada ya kuondolewa kwa amri ya mahakama katika eneo walilokuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka thelathini.
Wamedai kwamba haki haikutendeka.
Familia hiyo ambayo hadi hivi sasa imekosa mahali pa kuishi, inamshutumu mtoto wa aliyekuwa mmiliki wa kwanza wa eneo hilo kwa madai ya kughushi nyaraka za uhalali wake wakati familia hiyo ikiwa na vielelezo vya mahala hapo.
Kwa mujibu wa...
9 years ago
Bongo514 Sep
Muimbaji wa Longombas, Christian awashukuru mashabiki wake baada ya kuondolewa uvimbe kwenye ubongo na kupona
9 years ago
Bongo503 Dec
Nahreel asema hakufurahishwa na kitendo cha kuondolewa kwa utambulisho wake kwenye wimbo wa ‘Nana’
![Nahreel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/07/Nahreel-200x200.jpg)
Kuna baadhi ya watu huenda hawafahamu kuwa mdundo wa ‘Nana’ wa Diamond Platnumz ni zao la producer Nahreel wa The Industry, na hii ni kutokana kwamba haina ule utambulisho wa kazi zake ‘Nahreel on the beat’ ambao husikika kwenye kazi zote alizotayarisha.
Nahreel amesema kuwa kiashirio cha producer kwenye wimbo huo kiliondolewa kwa sababu ambazo hakuona kama zina uzito.
“Sababu walizosema walisema tu stori ilivyoanza pale mbele ile slogan yangu ingeleta hitilafu lakini it doesn’t make sense,...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Manispaa ya Kinondoni yaanza kuondoa maji kwenye makazi ya watu
Mkuu wa mkoa wa Dar es slaam, Saidi Meck Sadiki(katikati) akiangalia athari ya maji yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni jijini Dar es slaam akiwa ameambatana na wakazi wa eneo hilo la Kunduchi Ununio.Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na DAWASA inaendelea na zoezi la kuyaondoa maji hayo pamoja na ujenzi wa mfereji mkubwa kuelekea baharini utakaokusanya maji kutoka Bunju na Kunduchi na kuyapeleka bahari ya Hindi.
Na Aron Msigwa- MAELEZO
Manispaa ya Kinondoni...