Minara ya simu yaundiwa sheria
BUNGE limeelezwa kuwa, Serikali imetunga kanuni mpya za kudhibiti mitetemo na kelele za minara ya simu iliyo katika maeneo ya watu, kwa lengo la kuwafanya wahusika wa minara hiyo wawajibike kufanya jitihada kuzizuia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Jul
Minara ya simu kuondolewa kwenye makazi
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema linaanza kupitia miradi mbalimbali, ikiwemo minara ya mawasiliano ya simu iliyojengwa kwenye makazi ya watu.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Minara ya simu sababu ya raia kunyanyaswa Kagera
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Serikali yasaka fedha kujenga minara ya simu
SERIKALI imesema imeamua kutafuta fedha na kujenga minara yenyewe badala ya kuzitegemea kampuni za simu. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema wizara...
10 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Ebola yaundiwa kikosi kazi
KUTOKANA na hofu ya ugonjwa wa Ebola kuingia nchini, Serikali imeanza kutoa fomu maalum za kuhoji wasafiri zinazotumika katika viwanja vya ndege vya kimataifa vya Mwalimu Julius Nyerere na cha...
9 years ago
Habarileo16 Oct
Taifa Stars yaundiwa kamati ya ushindi
KATIKA kuhakikisha timu ya soka ya Tanzania inafanya vizuri katika kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2017 na fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2018 nchini Urusi, kamati maalumu ya ushindi imeundwa kuisaidia timu hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Posho Bunge la Katiba yaundiwa tume
SAKATA la nyongeza ya posho limechukua sura mpya baada ya Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kuunda kamati ya watu sita kulishughulikia. Kificho alisema kamati...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Operesheni ya ujangili yaundiwa mahakama sasa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iAAnDKnbiwo/VVLy5a1u9GI/AAAAAAAHW9Y/bE1dDhAq1NE/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: ALIPWA USD 90,000 KWA KUISHTAKI KAMPUNI YA SIMU, NA WEWE CHUKUA HATUA SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-iAAnDKnbiwo/VVLy5a1u9GI/AAAAAAAHW9Y/bE1dDhAq1NE/s320/1.1774256.jpg)
Makampuni ya simu kama Vodacon, Airtel, Tigo, Zantel, Sasatel, na mengineyo yamekuwa yakitenda makosa mbalimbali kwa wateja wao. Mara kwa mara wateja wa simu wamekuwa wakilalamikia matendo ya makampuni haya lakini wengi wao wamekuwa hawachukui hatua zaidi ya kulalamika. Ni watu wachache mno ambao wamekwishachukua hatua za kisheria dhidi ya makampuni haya licha ya uonevu mkubwa wa kihuduma wanaousababisha. Ukiangalia kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-76faSeRljuQ/Xkp6-H5KzCI/AAAAAAALdsU/UnY4gTKnxacVNhqqiHh6vm3TUrNDp8zqQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-0-1.jpg)
NDITIYE AZINDUA KAMPENI YA UPANDIKIZAJI MINARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-76faSeRljuQ/Xkp6-H5KzCI/AAAAAAALdsU/UnY4gTKnxacVNhqqiHh6vm3TUrNDp8zqQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-0-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye (wapili kushoto), Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki ambae pia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omar Mgumba (wakwanza kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL),Waziri Kindamba wakikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Minara wenye lengo la kufikisha...