Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Minara ya simu yaundiwa sheria

Januari Makamba.BUNGE limeelezwa kuwa, Serikali imetunga kanuni mpya za kudhibiti mitetemo na kelele za minara ya simu iliyo katika maeneo ya watu, kwa lengo la kuwafanya wahusika wa minara hiyo wawajibike kufanya jitihada kuzizuia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Minara ya simu kuondolewa kwenye makazi

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema linaanza kupitia miradi mbalimbali, ikiwemo minara ya mawasiliano ya simu iliyojengwa kwenye makazi ya watu.

 

11 years ago

Mwananchi

Minara ya simu sababu ya raia kunyanyaswa Kagera

Mapato yanayotokana na ujenzi wa minara ya simu, yanadaiwa kuwa ndiyo chanzo cha kunyanyaswa kwa wakazi 41 wa Kijiji cha Murongo, wilayani Kyerwa katika Mkoa wa Kagera.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yasaka fedha kujenga minara ya simu

SERIKALI imesema imeamua kutafuta fedha na kujenga minara yenyewe badala ya kuzitegemea kampuni za simu. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema wizara...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ebola yaundiwa kikosi kazi

KUTOKANA na hofu ya ugonjwa wa Ebola kuingia nchini, Serikali imeanza kutoa fomu maalum za kuhoji wasafiri zinazotumika katika viwanja vya ndege vya kimataifa vya Mwalimu Julius Nyerere na cha...

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars yaundiwa kamati ya ushindi

KATIKA kuhakikisha timu ya soka ya Tanzania inafanya vizuri katika kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2017 na fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2018 nchini Urusi, kamati maalumu ya ushindi imeundwa kuisaidia timu hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho Bunge la Katiba yaundiwa tume

SAKATA la nyongeza ya posho limechukua sura mpya baada ya Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kuunda kamati ya watu sita kulishughulikia. Kificho alisema kamati...

 

11 years ago

Mwananchi

Operesheni ya ujangili yaundiwa mahakama sasa

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema mchakato wa kuwapata wajumbe wa Tume ya Kimahakama ya Kuchunguza Madhara ya Operesheni Tokomeza Ujangili umeshaanza na majina hayo yatawekwa wazi hivi karibuni.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: ALIPWA USD 90,000 KWA KUISHTAKI KAMPUNI YA SIMU, NA WEWE CHUKUA HATUA SASA

Na  Bashir  Yakub.
Makampuni  ya  simu  kama  Vodacon, Airtel, Tigo, Zantel, Sasatel, na  mengineyo  yamekuwa  yakitenda  makosa  mbalimbali  kwa wateja  wao.  Mara  kwa  mara  wateja  wa  simu  wamekuwa  wakilalamikia  matendo  ya  makampuni   haya  lakini  wengi  wao  wamekuwa  hawachukui  hatua  zaidi  ya  kulalamika. Ni  watu  wachache  mno  ambao  wamekwishachukua  hatua  za  kisheria  dhidi  ya  makampuni  haya licha  ya  uonevu  mkubwa wa   kihuduma   wanaousababisha.   Ukiangalia  kwa...

 

5 years ago

Michuzi

NDITIYE AZINDUA KAMPENI YA UPANDIKIZAJI MINARA




Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye (wapili kushoto), Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki ambae pia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omar Mgumba (wakwanza kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL),Waziri Kindamba wakikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Minara wenye lengo la kufikisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani