NDITIYE AZINDUA KAMPENI YA UPANDIKIZAJI MINARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-76faSeRljuQ/Xkp6-H5KzCI/AAAAAAALdsU/UnY4gTKnxacVNhqqiHh6vm3TUrNDp8zqQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-0-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye (wapili kushoto), Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki ambae pia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omar Mgumba (wakwanza kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL),Waziri Kindamba wakikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Minara wenye lengo la kufikisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNDITIYE AZINDUA SAFARI ZA NDEGE ZA MIZIGO UWANJA WA KIA
KADCO yajenga chumba cha barafu chenye uwezo wa kubeba tani 110
Na Prisca Ulomi, WUUM, KIA
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye amezindua safari za ndege za mizigo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya kuwawezesha wafanyabiashara, wakulima wa mazao, matunda na mboga mboga wa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Manyara na mikoa ya jirani kutumia usafiri huo kusafirisha mizigo yao kwenda nje ya nchi ya Tanzania
Nditiye amesema kuwa uzinduzi wa...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Profesa Kaisi: Daktari wa kwanza kuzalisha kwa njia ya upandikizaji upandikizaji
5 years ago
MichuziNDITIYE AHITIMISHA KAMPENI YA “SWITCH-ON, MAWASILIANO KWA WOTE†KANDA YA KASKAZINI
Kampeni hiyo iliyoambatana na zoezi la kuzindua Minara ya Mawasiliano ya Shirika hilo kwa ukanda wa Kaskazini ilianzia Jijini Tanga tarehe 25 Februari, 2020 na...
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Dk Slaa azindua kampeni Kalenga
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Aveva azindua kampeni Simba
MGOMBEA urais wa klabu ya Simba katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Jumapili, Evans Aveva, jana amezindua kampeni kwa kutangaza vipaumbele vyake kama atashinda nafasi hiyo, ikiwamo kuvunja makundi baada ya...
11 years ago
GPLMALINZI AZINDUA KAMPENI YA ISHI HURU
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JQs9yDjsjkY/VgC1ub0DyVI/AAAAAAAAza0/jX6F80rScow/s72-c/kumi.jpg)
NYALANDU AZINDUA KAMPENI KATA YA MTINKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JQs9yDjsjkY/VgC1ub0DyVI/AAAAAAAAza0/jX6F80rScow/s640/kumi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oEZe4Ae6OE4/VgC1uYhGusI/AAAAAAAAza4/0ReuABT6NJo/s640/mbili.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U4SsTotZuIA/VgC1ugcCIHI/AAAAAAAAza8/5iJLp9uGPFo/s640/moja.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ridhiwani azindua kampeni kwa kishindo
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
MO azindua kwa kishindo kampeni za CCM Singida
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Gulam Dewji akisalimiana na wapiga kura kura wake na wananchi wa jimbo la Singida mjini mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Kibaoni tayari kuzindua kampeni za CCM uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo la Singida Mjini.(Picha na Geofrey Mwakibete wa MOblog).
Mbunge wa Singida MO Dewji akipata mapokezi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni zilizofanyika Kibaoni mjini Singida.
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Dewji...