NYALANDU AZINDUA KAMPENI KATA YA MTINKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JQs9yDjsjkY/VgC1ub0DyVI/AAAAAAAAza0/jX6F80rScow/s72-c/kumi.jpg)
WAZIRI wa Maliasili na Utalii na mgombea ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, akiingia kuzindua rasmi kampeni zake katika Uwanja wa Mtinko huku akisindikizwa na msafara mkubwa wa bodaboda.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii na mgombea ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, akisoma bango lenye ujumbe wa kumpongeza lililoandaliwa na wananchi wa Kata ya Mntiko, wakati wa uzinduzi wa kampeni zake za ubunge.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii na mgombea ubunge wa Jimbo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1350.jpg)
WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI YA UHAMASISHAJI WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
NYALANDU AHUTUBIA WANANCHI: Ni katika kampeni Kata ya Ikhanoda jimbo la Singida Kaskazini, asema hakuna kulala mpaka kieleweke
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akihutubia wananchi wa kijiji cha Ikhanoda Jimbo la Singida Kaskazini wakati wa Mkutano wa Kampeni wa kujinadi na kumnadi Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli sanjari na Diwani wa Kata hiyo Hinga Mnyawi jana.
Nyalandu kihutubia mkutano kijiji cha ikhanoda.
Mmoja wa wabibi wa kijiji cha Ikhanoda akicheza mziki wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu.
Bibi: bibi akicheza mziki wakati wa...
9 years ago
GPLMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE
9 years ago
Dewji Blog20 Sep
Mgombea udiwani kata ya Mbagala Kuu (CCM) Yusuf Manji azindua kampeni zake Dar
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yNaMN-ZUtdQ/VZJfxCoyz2I/AAAAAAAC79s/8snjCh3cANI/s72-c/10.jpg)
WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI MPYA YA KUWAHAMASISHA WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA JIJINI MWANZA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-yNaMN-ZUtdQ/VZJfxCoyz2I/AAAAAAAC79s/8snjCh3cANI/s640/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mQmu0-DQUYY/VZJf6EfuA7I/AAAAAAAC790/z1DpqFwjTjQ/s640/11.jpg)
9 years ago
MichuziMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-xQTl6WEkmH8/VQBgVfeSgbI/AAAAAAAAB7w/lqX_QIJ7bIg/s72-c/NYALANDU9.jpg)
Nyalandu azindua ofisi za TAWA
Na mwandishi wetu MAMLAKA ya Wanyamapori Tanzania (TWA), imepata ofisi za muda mkoani Morogoro, kwa ajili ya matumizi ya muda, hivyo kuanza kazi wakati wowote kuanzia sasa. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, alitembelea ofisi hizo zitakazokuwa kwenye jengo la Taasisi ya Utafiti wa Misitu (TAFORI) jana, alipokuwa na kikao cha kupitisha bajeti ya mamlaka hiyo kwa kipindi cha miezi mitatu. Alikipongeza kikosi kazi kinachosimamia uanzishwaji wa TAWA kwa kufanya kazi kwa bidii na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10