Ridhiwani azindua kampeni kwa kishindo
Chama Cha Mapinduzi kimezindua kampeni katika Jimbo la Chalinze kwa kishindo, huku viongozi wa kitaifa wakimwombea kura, Ridhiwani Kikwete ili awaletee maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s72-c/52.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AANZA KAMPENI KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s1600/52.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fvYL_g5Yk3c/UyNojFi6r8I/AAAAAAAFThU/I95wZvYcImU/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
MO azindua kwa kishindo kampeni za CCM Singida
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Gulam Dewji akisalimiana na wapiga kura kura wake na wananchi wa jimbo la Singida mjini mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Kibaoni tayari kuzindua kampeni za CCM uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo la Singida Mjini.(Picha na Geofrey Mwakibete wa MOblog).
Mbunge wa Singida MO Dewji akipata mapokezi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni zilizofanyika Kibaoni mjini Singida.
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Dewji...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/140.jpg)
KINANA AZINDUA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE KWA KISHINDO
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Ridhiwani Kikwete apita kwa kishindo uchaguzi mdogo Chalinze
![ridhiwani](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/ridhiwani1.jpg)
Ridhiwani Kikwete akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupiga kura mjini Chalinze jana.
NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-CHALINZE
Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze Bagamoyo mkoani Pwani kupitia Chama cha Mapinduzi CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo na kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo ya uchaguzi huo yanaonyesha Ridhiwani ameongoza akifuatiwa na CHADEMA ,CUF,NRA na ASP.
Matokeo hayo...
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-7qGo4BQ07dY/Viv1j7vXH0I/AAAAAAAAbz8/v7hfsRzYseM/s72-c/b1.jpg)
LOWASSA AMALIZA KAMPENI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7qGo4BQ07dY/Viv1j7vXH0I/AAAAAAAAbz8/v7hfsRzYseM/s640/b1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_yM3KLGB6A/Viv23l9G6jI/AAAAAAAAb04/KVcVaq-8_rs/s640/DSC_2388.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-adCSgN_I23g/Viv1kI4eXTI/AAAAAAAAb0E/t9Cj05iCM_4/s640/b6.jpg)
Wananchi wakihudhuria mkutano wa UKAWA jangwani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-njAkdAPRbDg/Viv1j39DQfI/AAAAAAAAb0A/Av6iH2mQLkQ/s640/b7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YxEU5oVmXLM/Viv11R4LIAI/AAAAAAAAb0U/AT-hDl4auDw/s640/CHADEMA_Paint.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O6qbhBejVJ4/Viv2BqrtnnI/AAAAAAAAb0c/_S3NJSVBNvM/s640/CHADEMA_MASK3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G2DlD_pxBws/Viv2eWlSIQI/AAAAAAAAb0k/APVxp-YqDUY/s640/CHADEMA_001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oZ2PLha0zBY/Viv23Qt2XXI/AAAAAAAAb00/Z1xMtwAxFu0/s640/DSC_2136.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l1W6WeY1mbw/Viv22tldf1I/AAAAAAAAb0s/YY4tkU0447s/s640/DSC_2362.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hFOisA2uBx8/Viv3RBlbDqI/AAAAAAAAb1I/yD4KfAhI1IM/s640/DSC_2484.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vwK0ciruf10/Viv3QuMDtvI/AAAAAAAAb1E/KOpUxeNhIXY/s640/DSC_2669.jpg)
Wafuasi lukuti wakiwa...