Taifa Stars yaundiwa kamati ya ushindi
KATIKA kuhakikisha timu ya soka ya Tanzania inafanya vizuri katika kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2017 na fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2018 nchini Urusi, kamati maalumu ya ushindi imeundwa kuisaidia timu hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Kamati Taifa Stars yavunjwa
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, jana imevunjwa rasmi baada ya kumaliza kazi yao iliyokuwa inawakabili ya kuhamasisha mechi dhidi ya Algeria.
Kamati hiyo iliyoundwa na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, ilikuwa na kazi ya kuhakikisha Taifa Stars inafanya vema kwenye michuano ya kuwania kufuzu kwa kombe la dunia 2018 nchini Urusi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Farough Baghouzah,...
9 years ago
Habarileo17 Nov
TFF, Kamati Taifa Stars zatofautiana
SHIRIKI la Soka Tanzania (TFF) na Kamati ya Taifa Stars zimetofautiana katika kauli zao kuhusu kiasi cha fedha watakachopewa wachezaji baada ya kutoka sare ya 2-2 na Algeria Jumamosi. Taifa Stars na Algeria zilipambana kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kusaka nafasi ya kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Dunia.
9 years ago
Michuzi15 Oct
TFF YAUNDA KAMATI YA TAIFA STARS
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/VDWXDz51q26oe_9JNibFJZXIod4Vn1gVggGo3yWDMM_pJDRgmYtxnollbmcZR9xQ4D9nR3OezpqXClM8jw=s0-d-e1-ft#http://tff.or.tz/images/malinziArst.png)
Katika kuimarisha maandalizi ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) kuelekea katika mashindano mbalimbali ikiwemo mechi mbili za ugenini na nyumbani dhidi ya Algeria, Rais wa TFF Jamal Malinzi ameunda kamati maalum itakayoitwa “Kamati ya Taifa Stars” ambayo majukumu yake yatakua:(i) Kuimarisha huduma kwa wachezaji,(ii) Uhamasishaji na Masoko,(iii) Kuhamasisha wachezaji,(iv) Kuandaa na kusimamia mkakati wa Ushindi.
Kamati hii itaongozwa na Mwenyekiti Farough Baghouzah, Teddy Mapunda (Katibu), Wajumbe...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QVqMmwKHV3o/Vlf-vM7t2wI/AAAAAAAIIi4/Odw4ZX3_xO8/s72-c/kamatistars.png)
KAMATI YA TAIFA STARS, YAWASHUKURU WATANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QVqMmwKHV3o/Vlf-vM7t2wI/AAAAAAAIIi4/Odw4ZX3_xO8/s640/kamatistars.png)
Farough alianza kwa kuwashukuru watanzania kwa kujitokeza kwa wingi katika mechi ya Taifa Stars na Algeria na kuwashukuru pia wale wote waliosafiri na timu hiyo ya Taifa, Taifa Stars kwenda Algeria katika mechi ya marudiano.
Pia Mwenyekiti amechukua fursa hiyo...
9 years ago
Michuzi20 Oct
KAMATI YA TAIFA STARS YATAMBULISHWA RASMI
![](http://tff.or.tz/images/starscommittee.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cL1NwjSO1Dg/Uwp4gS1a1_I/AAAAAAAFPLU/c-vFD7Wsxrk/s72-c/_MG_0649.jpg)
Kutoka maktaba: Mzee Ruksa na kamati ya saidia taifa stars ishinde mwaka 1994 na wanahabari Ikulu
![](http://3.bp.blogspot.com/-cL1NwjSO1Dg/Uwp4gS1a1_I/AAAAAAAFPLU/c-vFD7Wsxrk/s1600/_MG_0649.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Stars ushindi ni lazima
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s72-c/MMGM1084.jpg)
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s1600/MMGM1084.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NlUWrOLm_MY/VDqqSciQUQI/AAAAAAAGplo/WDumNWIiiQQ/s1600/MMGM1095.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rw1cH6fb7bA/VDqqSY43IwI/AAAAAAAGpls/oJNT5cTcrZ0/s1600/MMGM1119.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgZ7IQqwkHA/VDqqUA2wFKI/AAAAAAAGpl8/O9cNCzaZok4/s1600/MMGM1140.jpg)