Kutoka maktaba: Mzee Ruksa na kamati ya saidia taifa stars ishinde mwaka 1994 na wanahabari Ikulu

Mwaka 1994: Rais Ali Hassan Mwinyi akiwa na wajumbe wa kamati ya Saidia Taifa Stars ishinde Ikulu jijini Dar es salaam baada ya timu hiyo kunyakua ubingwa wa Chalenji. Kutoka kulia mstari wa mbele ni Ankal, Brigedia Moses Nnauye (RiP), Mwenyekiti wa FAT Alhaj Muhidin Ndolanga, Rais Mwinyi, Waziri wa Elimu na Utamaduni Profesa Philemon Sarungi, Mwenyekiti wa kamati hiyo na Mwenyekiti wa makampuni ya IPP Reginald Mengi, Mbunge wa Dodoma Kuwayawaya S. Kuwayawaya na Kamanda Richard Mwaikenda....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
KUTOKA MAKTABA: ANKAL NA WANAHABARI NGULI NCHINI

11 years ago
Michuzi08 Jun
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Michuzi
Kutoka maktaba: Ankal akiwa loliondo mwaka 1990

10 years ago
Michuzi.jpg)
kutoka maktaba: Basi la Mbeya-Masasi mwaka 1977
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Michuzi
KUTOKA MAKTABA: JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI SEMINARI YA KATOKE (FOMU ONE) MWAKA 1975
