KUTOKA MAKTABA: ANKAL NA WANAHABARI NGULI NCHINI

Ankal akiwa na sehemu ya wanahabari nguli nchini katika hafla ya michezo ya wanahabari katika viwanja wa Leaders Club jijini Dar es salaam. Kutoka kushoto ni Haji Sunday Manara, Angetile Osiah, Samson Mfalila, Ankal, Aboubakar Liongo, Edo Kumwembe na Rashidi Kejo
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
KUTOKA MAKTABA: ANKAL, LIONGO, NGAHYOMA NA RAZA
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Kutoka maktaba: Ankal akiwa loliondo mwaka 1990

11 years ago
Michuzi19 Feb
11 years ago
Michuzi
Kutoka maktaba: Mzee Ruksa na kamati ya saidia taifa stars ishinde mwaka 1994 na wanahabari Ikulu

11 years ago
Michuzi11 Jul
10 years ago
Michuzi
Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami
WANANCHI wataweza kusafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami,hayo yalisemwa Bungeni Mjini Dodoma wakati Waziri wa Ujenzi John Magufuli alipokua akijibu swali la Martha Mlata (Viti Maalum-CCM), swali lililohoji juu ya ahadi ya Serikali katika kipindi cha awamu ya nne na ahadi hiyo iliyosema wananchi wataweza kusafiri kwa taxi toka Mtwara hadi Bukoba.
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
11 years ago
Michuzi
Mazishi ya Mwanahabari Nguli nchini, Mzee Nkwabi Ng’wanakilala

Mwl. Ng’wanakilala, ambaye alikuwa Mhadhiri katika Idara ya Habari na Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT),...
9 years ago
Michuzi
KUTOKA MAKTABA YA GLOBU YA JAMII


10 years ago
Michuzi.jpg)
MDAU NGULI CHIEF MKWAWA ALAMBA NONDOZZZ INGINE YA UZAMILI KUTOKA CHUO KIKUU HURIA
MDAU NGULI WA GLOBU YA JAMII MHANDISI MKWAWA AKA CHIEF AMELAMBA NONDOZZZ YA SHAHADA YA UZAMILI KTK UONGOZI WA BIASHARA-MBA (FINANCE) KUTOKA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA. HII NI SHAHADA YA PILI YA UZAMILI KUTUNUKIWA MWAKA HUU WA 2014, BAADA YA ILE YA MASTER OF ENGINEERING SCIENCE (METALLURGY) KUTOKA CHUO KIKUU CHA CURTIN (WASM) NCHINI AUSTRALIA MWEZI AUGUST 2014.
Mhandisi Mkwawa akivalishwa shada la maua na mai waifu wake mamaa Warda muda mfupi baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili...
.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania