Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami
![](http://img.youtube.com/vi/6aWqsbW3A8U/default.jpg)
WANANCHI wataweza kusafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami,hayo yalisemwa Bungeni Mjini Dodoma wakati Waziri wa Ujenzi John Magufuli alipokua akijibu swali la Martha Mlata (Viti Maalum-CCM), swali lililohoji juu ya ahadi ya Serikali katika kipindi cha awamu ya nne na ahadi hiyo iliyosema wananchi wataweza kusafiri kwa taxi toka Mtwara hadi Bukoba.
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AKISHINDA URAIS AAHIDI SERIKALI KUJENGA RELI KUTOKA MTWARA HADI MBAMBA BAY RUVUMA, KUPUNGUZA BEI YA VIFAA VYA UJENZI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9AyMq3D_LQ0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZtOGzTt3gSI/VZAKEZH7eoI/AAAAAAAHlIM/LHZwDR6L0AA/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Kutoka Maktaba. DKT JOHN POMBE MAGUFULI ENZI ZA UJANA WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZtOGzTt3gSI/VZAKEZH7eoI/AAAAAAAHlIM/LHZwDR6L0AA/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Serikali yasaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akiwa na Rais wa Kampuni ya China Railway International Group Co. Ltd Dkt. Lu Bo wakisaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara. Makubaliano hayo yalifanyika Beijing, China tarehe 10 Januari 2015. nyuma ya Katibu Mkuu (aliyesimama) ni Waziri wa Maji Mheshimiwa Prof. Jumanne Abdallah Maghembe (Mb).
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akipeana mikono na Rais wa Kampuni ya China...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0qhED5wuARk/VbcafS7DHJI/AAAAAAAHsII/6UvgLcZpahk/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
KUTOKA MAKTABA: JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI SEMINARI YA KATOKE (FOMU ONE) MWAKA 1975
![](http://3.bp.blogspot.com/-0qhED5wuARk/VbcafS7DHJI/AAAAAAAHsII/6UvgLcZpahk/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo03 Sep
‘Barabara ya lami ya Dodoma hadi Iringa itakuza uchumi’
RAIS Jakaya Kikwete amesema kufunguka kwa barabara kutoka Dodoma hadi Iringa, kutakuza shughuli za kiuchumi na kupunguza umasikini kutokana na barabara hiyo kuwa sehemu ya barabara kuu inayoanzia Cape Town nchini Afrika Kusini kupitia Tanzania hadi Cairo, Misri, maarufu kama The Great North Road.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_pvAR8FtCOs/Vb5g1aA577I/AAAAAAAHtZE/0iV4bZiUNqs/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
KUTOKA MAKTABA: DKT.JOHN J.P MAGUFULI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 1985/1986
![](http://1.bp.blogspot.com/-_pvAR8FtCOs/Vb5g1aA577I/AAAAAAAHtZE/0iV4bZiUNqs/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N1X5vtXQq9o/VekZ7ok0jEI/AAAAAAAH2Pg/wyP0EDlINcU/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Kutoka Maktaba: Dkt John Pombe Magufuli akiwa masomoni Chuo Kikuu cha Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-N1X5vtXQq9o/VekZ7ok0jEI/AAAAAAAH2Pg/wyP0EDlINcU/s640/unnamed%2B%252876%2529.jpg)