Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutoka maktaba: Kumbukumbu ya marehemu mzee small alipokuwa na Bi chau

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KUTOKA MSIBANI KWA MAREHEMU MZEE SMALL TABATA

  Mke wa marehemu Mzee Small, Bi. Fatuma Said akiwa na simanzi nzito.   Wasani Jumanne Shabaan 'Made Matata', Mbembe (katikati) na Habib Mrisho 'Sumaku' (kulia) wakijadiliana jambo msibani.…

 

11 years ago

GPL

BI. CHAU: ETI NIMKALIE EDA MZEE SMALL, MH!

Stori: Hamida Hassan Muigizaji mkongwe Chausiku Salum ‘Bi Chau’ ameshangazwa na dhana iliyopo kwa mashibiki kwamba yeye ni mume wa marehemu Saidi Ngamba ‘Mzee Small’ huku wakimtaka akae eda. Muigizaji mkongwe Chausiku Salum ‘Bi Chau’. Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Bi. Chau alisema amekuwa akipokea simu nyingi zikimuuliza anakalia wapi eda ili wakampe pole huku wengine wakihoji kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar

16

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.

17

_1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAONGOMA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MAREHEMU MZEE SAID NGAMBA "MZEE SMALL" JIJINI DAR LEO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam leo Juni 9, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika dua wakati alipokwenda kuhani msiba wa msanii maarufu wa filamu vichekesho Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam leo Juni 9, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho...

 

11 years ago

GPL

HISTORIA YA MAREHEMU MZEE SMALL

Marehemu Mzee Small akiwa na mkewe Bi. Fatuma. Jina lake ni Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small (58). Amezaliwa mwaka 1955. Alikuwa msanii mkongwe wa vichekesho na maigizo hapa Bongo. Mzee Small (kushoto) akiwavunja mbavu JB, Mzee Mbizo na Richie. Mzee Small alipata elimu ya msingi katika Shule ya Mingumbi huko Kilwa mkoani Pwani. Mbali na kuwa mkongwe, Mzee Small kila ulipozungumza naye alikuwa na kawaida ya kutamba...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

GAZETI LA CHAMPIONI LAKABIDHI UBANI KWA FAMILIA YA MAREHEMU MZEE SMALL

Waandishi wa Gazeti la Championi (waliochuchumaa), kutoka kushoto ni Lucy Mgina, Saphyna Mlawa, Martha Mboma na Khadija Mngwai wakimkabidhi ubani Mke wa Marehemu, Said Ngamba 'Mzee Small, Mama Said. Mhariri wa Championi Jumatano, Philip Nkini akimpa pole moja ya mtoto wa Marehemu Mzee Small.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani