TBF yasaka fedha Kombe la Mapinduzi
VIONGOZI wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), wanatafuta fedha za kuisafirisha timu ya taifa ya Tanzania Bara kwenda Zanzibar kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayoendelea visiwani humo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 May
TBF yabadili mfumo Kombe la Muungano
SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), limesema mashindano ya Kombe la Muungano kwa mwaka huu yatafanyika kwa mfumo wa ligi itakayokuwa na timu 16. Mashindano hayo yaliyopangwa kuanza Juni...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Z’bar yasaka fedha kulinda ubora
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Serikali yasaka fedha kujenga minara ya simu
SERIKALI imesema imeamua kutafuta fedha na kujenga minara yenyewe badala ya kuzitegemea kampuni za simu. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema wizara...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Bugadea yasaka fedha ujenzi kituo cha afya
WAKAZI wa Kata ya Buganguzi katika Wilaya ya Muleba, wameamua kuchangishana fedha kwa ajili ya kujenga kituo cha afya kitakachogharimu zaidi ya sh milioni 500. Uamuzi huo umefikiwa na wakazi...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serikali yasaka fedha ujenzi barabara ya Njombe-Ludewa
SERIKALI imesema inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ludewa Mjini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, wakati akijibu...
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Kombe la Mapinduzi hatihati
NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limepanga kuzuia timu zake kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mahakamani.
Rais wa wa TFF, Jamal Malinzi, amesema Dar es Salaam jana katika mahojiano maalumu na MTANZANIA kuwa wana kila sababu ya kuzizuia timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kwenda Zanzibar kushiriki Kombe la Mapinduzi.
Alisema ZFA ina usajili wake...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Simba SC mabigwa wa kombe la mapinduzi
11 years ago
Mwananchi14 Jan
KCCA wateka Kombe Mapinduzi
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Yanga yaaga kombe la Mapinduzi