KCCA wateka Kombe Mapinduzi
Bao la mshambuliaji Herman Waaswa lilitosha kuipa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi timu ya KCCA ya Uganda baada ya kuichapa Simba 1-0 katika mechi ya fainali iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen21 Dec
Gor Mahia, KCCA for Mapinduzi
10 years ago
Mwananchi20 Jul
KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Kombe la Mapinduzi hatihati
NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limepanga kuzuia timu zake kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mahakamani.
Rais wa wa TFF, Jamal Malinzi, amesema Dar es Salaam jana katika mahojiano maalumu na MTANZANIA kuwa wana kila sababu ya kuzizuia timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kwenda Zanzibar kushiriki Kombe la Mapinduzi.
Alisema ZFA ina usajili wake...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Simba SC mabigwa wa kombe la mapinduzi
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Yanga yaaga kombe la Mapinduzi
9 years ago
Habarileo30 Dec
Simba wapania Kombe la Mapinduzi
TIMU za Simba na Azam zimepania kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa kuhakikisha zinapambana mwanzo hadi mwisho na kushinda kila mchezo ulioko mbele yao.
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Azam yatema kombe Mapinduzi
MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC, jana walivuliwa taji baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka timu ya Halmashauri ya Jiji la Kampala Uganda (KCC), katika mechi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DSwm-J*00ntF*Ng6Ov*Lc*AofpeKeSuOhJQUzaUaBFJP*NabSRRy92cD2J9ZJ0fgEr9sToBzKUVx*pR77*1FguP/LOGA.jpg?width=650)
Logarusic: Kombe la Mapinduzi si ishu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Qg7rHcWssWU/VLZy8GddNuI/AAAAAAAG9VU/pgiEgdF7IxU/s72-c/DSC_0386.jpg)
SIMBA WAREJEA DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qg7rHcWssWU/VLZy8GddNuI/AAAAAAAG9VU/pgiEgdF7IxU/s1600/DSC_0386.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZsJmy6T7J6U/VLZy-A6PcWI/AAAAAAAG9Vc/oAL2qqnTG4o/s1600/DSC_0433.jpg)
Na Bakari Issa ,Globu ya Jamii Dar
Klabu ya Soka ya Simba leo hii imerejea jijini Dar es Salaam toka visiwani Zanzibar ambapo imeibuka kinara wa Kombe la...