Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KCCA wateka Kombe Mapinduzi

Bao la mshambuliaji Herman Waaswa lilitosha kuipa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi timu ya KCCA ya Uganda baada ya kuichapa Simba 1-0 katika mechi ya fainali iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Gor Mahia, KCCA for Mapinduzi

Two foreign teams are expected to compete in the 2016 Mapinduzi Cup kicking off on January 2 in Zanzibar, it has been revealed.

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA

>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mtanzania

Kombe la Mapinduzi hatihati

2NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limepanga kuzuia timu zake kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mahakamani.

Rais wa wa TFF, Jamal Malinzi, amesema Dar es Salaam jana katika mahojiano maalumu na MTANZANIA kuwa wana kila sababu ya kuzizuia timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kwenda Zanzibar kushiriki Kombe la Mapinduzi.

Alisema ZFA ina usajili wake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba SC mabigwa wa kombe la mapinduzi

Timu ya Simba Sc imeibuka kidedea kwa kutwaa kombe la mapinduzi kwa mikwaju 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaaga kombe la Mapinduzi

Yanga imeng'oka katika michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa bao 1-0 na JKU.

 

9 years ago

Habarileo

Simba wapania Kombe la Mapinduzi

TIMU za Simba na Azam zimepania kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa kuhakikisha zinapambana mwanzo hadi mwisho na kushinda kila mchezo ulioko mbele yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam yatema kombe Mapinduzi

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC, jana walivuliwa taji baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka timu ya Halmashauri ya Jiji la Kampala Uganda (KCC), katika mechi ya...

 

11 years ago

GPL

Logarusic: Kombe la Mapinduzi si ishu

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema kikosi chake kutwaa Kombe la Mapinduzi si ishu kubwa sana kwake. Logarusic ambaye ameungana na Simba akitokea kwao Croatia, amesema ataitumia michuano hiyo kama sehemu ya kuboresha kikosi hicho. “Tunacholenga sisi ni Ligi Kuu Bara. Michuano hii ni kama ya kirafiki, tunaweza kuchukua au kutochukua ubingwa na...

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA WAREJEA DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI

Golikipa chipukizi wa Timu ya Simba Sc,Manyika Peter ‘Manyika Jr’ (wa pili kushoto) wakiwakabidhi Kombe Mashabiki wa timu hiyo mara baada ya kuwasili kutokea visiwani Zanzibar kwenye Mashindano ya Mapinduzi Cup,ambapo Simba waliibuka mabingwa.Mashabiki wa timu Simba SC wakishangilia ubingwa wao.Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
Na Bakari  Issa ,Globu ya Jamii Dar
Klabu ya Soka ya Simba leo hii imerejea jijini Dar es Salaam toka visiwani Zanzibar ambapo imeibuka kinara wa Kombe la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani