Simba wapania Kombe la Mapinduzi
TIMU za Simba na Azam zimepania kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa kuhakikisha zinapambana mwanzo hadi mwisho na kushinda kila mchezo ulioko mbele yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Simba SC mabigwa wa kombe la mapinduzi
Timu ya Simba Sc imeibuka kidedea kwa kutwaa kombe la mapinduzi kwa mikwaju 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Qg7rHcWssWU/VLZy8GddNuI/AAAAAAAG9VU/pgiEgdF7IxU/s72-c/DSC_0386.jpg)
SIMBA WAREJEA DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qg7rHcWssWU/VLZy8GddNuI/AAAAAAAG9VU/pgiEgdF7IxU/s1600/DSC_0386.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZsJmy6T7J6U/VLZy-A6PcWI/AAAAAAAG9Vc/oAL2qqnTG4o/s1600/DSC_0433.jpg)
Na Bakari Issa ,Globu ya Jamii Dar
Klabu ya Soka ya Simba leo hii imerejea jijini Dar es Salaam toka visiwani Zanzibar ambapo imeibuka kinara wa Kombe la...
10 years ago
GPLSIMBA SC YATWAA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR
Mshambuliaji wa Simba SC, Danny Sserunkuma akiwatoka mabeki wa Mtibwa Sugar wakati wa mechi ya fainali Kombe la Mapinduzi usiku huu huko Zanzibar. Patashika wakati wa mtanange huo.…
10 years ago
Bongo514 Jan
Simba yatwaa kombe la Mapinduzi 2015
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba, usiku wa kuamkia leo waliibuka washindi katika mchezo wa fainali ya kombe la Mapinduzi kwa kuwafunga Mtibwa Sukari kwa changamoto ya Mikwaju ya Penati. Mchezo huo ulifanyika huko kisiwani Unguja. Simba walifanikiwa kupata panati nne na kukosa moja huku mtibwa wakipata penati tatu na kukosa mbili.
10 years ago
CloudsFM15 Jan
SIMBA SC WALIVYOTUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
KIKOSI cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kilichotwaa Kombe la Mapinduzi Mtibwa Sugar kwa penalti 4-3 kiliwasili jijini Dar jana kikitokea Mjini Zanzibar.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTsmZfOvZR9tEX7WReKhRqXyDiQIrkA0LG1uIiBt99wL5DYLteQQCNUICX7*WcDk4bcHt7ECRNdbwlP-FiRnEr6e/simbanew.jpg?width=650)
SIMBA SC WATUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
Kipa wa Simba SC, Manyika Peter akikabidhi Kombe la Mapinduzi kwa mashabiki wa timu hiyo mara baada ya kuwasili kutoka Mjini Zanzibar leo. KIKOSI cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kilichotwaa Kombe la Mapinduzi jana usiku kwa kuifunga Mtibwa Sugar kwa penalti 4-3 kimewasili jijini Dar leo kikitokea Mjini Zanzibar.
10 years ago
VijimamboSIMBA NA MTIBWA KOMBE LA MAPINDUZI KATIKA PICHA
10 years ago
VijimamboIVO SHUJAA SIMBA IKITWAA KOMBE LA MAPINDUZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrJ3a9Oy1cjX2-A79KODGwbxxoHuIogfEk3zhtvrPeClBEVeH1Rtuf5Z-y7u6JePKCve0cAIKrFsn-oxMuPBiSr/2SIMBAVSKCC1.jpg?width=650)
HALF TIME FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: SIMBA 0, KCC 1
Timu za Simba na KCC zikisubiri kukaguliwa kabla ya mtanange kuanza kwenye Uwanja wa Amaan mjini Unguja. KWA sasa ni mapumziko katika mechi ya fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kati ya Simba SC na KCC ya Uganda ndani ya Uwanja wa Amaan mjini Unguja. KCC wako mbele kwa bao…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania