IVO SHUJAA SIMBA IKITWAA KOMBE LA MAPINDUZI
Kipa mkongwe Ivo Mapunda ameibeba Simba kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi baada ya kupangua mkwaju wa penalti wa mkongwe Vicent Barnabas.Mapunda aliingia uwanjani katika dakika ya 90 kuchukua nafasi ya Peter Manyika ikiwa ni sehemu ya kupewa jukumu la kupangua mikwaju hiyo.Simba imefanikiwa kushinda kwa mikwaju 4-3 baada ya wachezaji wawili wa Mtibwa kukosa na mmoja Simba Shabani Kisiga kukosa pia.Kwa ushindi huo, Simba imekabidhiwa kitita cha Sh milioni 10 wakati washindi wa pili Mtibwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Dec
Simba wapania Kombe la Mapinduzi
TIMU za Simba na Azam zimepania kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa kuhakikisha zinapambana mwanzo hadi mwisho na kushinda kila mchezo ulioko mbele yao.
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Simba SC mabigwa wa kombe la mapinduzi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Qg7rHcWssWU/VLZy8GddNuI/AAAAAAAG9VU/pgiEgdF7IxU/s72-c/DSC_0386.jpg)
SIMBA WAREJEA DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qg7rHcWssWU/VLZy8GddNuI/AAAAAAAG9VU/pgiEgdF7IxU/s1600/DSC_0386.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZsJmy6T7J6U/VLZy-A6PcWI/AAAAAAAG9Vc/oAL2qqnTG4o/s1600/DSC_0433.jpg)
Na Bakari Issa ,Globu ya Jamii Dar
Klabu ya Soka ya Simba leo hii imerejea jijini Dar es Salaam toka visiwani Zanzibar ambapo imeibuka kinara wa Kombe la...
10 years ago
Bongo514 Jan
Simba yatwaa kombe la Mapinduzi 2015
10 years ago
GPLSIMBA SC YATWAA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR
10 years ago
CloudsFM15 Jan
SIMBA SC WALIVYOTUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
KIKOSI cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kilichotwaa Kombe la Mapinduzi Mtibwa Sugar kwa penalti 4-3 kiliwasili jijini Dar jana kikitokea Mjini Zanzibar.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTsmZfOvZR9tEX7WReKhRqXyDiQIrkA0LG1uIiBt99wL5DYLteQQCNUICX7*WcDk4bcHt7ECRNdbwlP-FiRnEr6e/simbanew.jpg?width=650)
SIMBA SC WATUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
10 years ago
VijimamboSIMBA NA MTIBWA KOMBE LA MAPINDUZI KATIKA PICHA
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Kombe la Mapinduzi lilete tija Yanga, Azam, Simba