Kombe la Mapinduzi hatihati
NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limepanga kuzuia timu zake kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mahakamani.
Rais wa wa TFF, Jamal Malinzi, amesema Dar es Salaam jana katika mahojiano maalumu na MTANZANIA kuwa wana kila sababu ya kuzizuia timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kwenda Zanzibar kushiriki Kombe la Mapinduzi.
Alisema ZFA ina usajili wake...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Brazil 2014: Suarez hatihati kuendelea Kombe la Dunia
11 years ago
Mwananchi14 Jan
KCCA wateka Kombe Mapinduzi
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Yanga yaaga kombe la Mapinduzi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DSwm-J*00ntF*Ng6Ov*Lc*AofpeKeSuOhJQUzaUaBFJP*NabSRRy92cD2J9ZJ0fgEr9sToBzKUVx*pR77*1FguP/LOGA.jpg?width=650)
Logarusic: Kombe la Mapinduzi si ishu
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Azam yatema kombe Mapinduzi
MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC, jana walivuliwa taji baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka timu ya Halmashauri ya Jiji la Kampala Uganda (KCC), katika mechi ya...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Simba SC mabigwa wa kombe la mapinduzi
9 years ago
Habarileo30 Dec
Simba wapania Kombe la Mapinduzi
TIMU za Simba na Azam zimepania kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa kuhakikisha zinapambana mwanzo hadi mwisho na kushinda kila mchezo ulioko mbele yao.
10 years ago
GPLSIMBA SC YATWAA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Kombe la Mapinduzi kuanza Januari Mosi