Milioni 345/- kupunguza umasikini
HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imepokea Sh 345,213,000 kwa ajii ya kuwajengea uwezo watu wanaoishi katika mazingira magumu na kuziwezesha kaya masikini kuongeza kipato cha kugharimia mahitaji muhimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Tasaf kupunguza umasikini
SERIKALI kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), imedhamiria kupunguza umasikini katika familia kupitia mpango wa kunusuru kaya. Hayo yalibainishwa mjini hapa juzi na Mkurugenzi wa Programu za Jamii, Amadeus...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UKGEhBwGJyc/XmYK03GPH2I/AAAAAAALiLI/JfBrpfgN6IEBnRUBOpD7dwy_TCuH0PsEQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KALIUA YATOA MKOPO WA MILIONI 345 KWA VIKUNDI 57 KATIKA KUSHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imekabidhi mkopo wa shilingi milioni 345 kwa vikundi 57 ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato yake ya ndani katika mwaka wa fedha unaoendelea.
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Dkt. John Pima wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa yalifanyika jana Wilayani humo.
Alisema kati ya fedha hizo vikundi 28 vya wanawake vimepokea milioni 184, vikundi 19 vya vijana vimekopeshwa 133.5 na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6vGV49bZLlU/XnJDCQoueyI/AAAAAAALkRM/goTTODmA4cwkgFSc9dz1_JuXbDwpxgiCQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.24.56%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Kikwete: Afrika inaweza kupunguza umasikini
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON
RAIS Jakaya Kikwete amesema pamoja na changamoto nyingi ambazo nchi za Afrika zinakumbana nazo, bado kuna uwezekano wa kuupunguza umasikini.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana katika mkutano unaojadili maendeleo na kumaliza umasikini ulioandaliwa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID).
“Tukiwa na sera sahihi, Serikali kuingilia kati pamoja na ushirikiano na sekta binafsi, inawezekana kuondoa umasikini. Juhudi hizi zikifanikiwa...
10 years ago
Habarileo12 Mar
Halmashauri 14 kunufaika mradi kupunguza umasikini
HALMASHAURI 14 za Mikoa ya Arusha na Njombe zinatarajiwa kunufaika na Mradi na Kupunguza Umasikini Mradi na Kupunguza Umasikini awamu ya tatu unaofadhiliwa na Mfuko wa Umoja wa Nchi zinazozalisha Mafuta Duniani (OPEC), unaotekelezwa chini ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).
11 years ago
Habarileo22 Jul
JK: Taasisi za serikali ziongeze kasi kupunguza umasikini
RAIS Jakaya Kikwete ametaka taasisi za Serikali, kuongeza kasi ya kupunguza umasikini miongoni mwa wananchi, akisisitiza kuwa wananchi wamekaa katika umasikini kwa muda mrefu kupita kiasi.
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN
Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
![Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0146.jpg)
Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
![Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0125.jpg)
Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Mghwira aahidi kusimamia mapato ya kodi kupunguza umasikini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QDA_Hder4FI/XvHBvs1hMmI/AAAAAAALvCY/-DPixU5G2-ASyW6B1KVYIWC2V-R_7sUegCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault%25280%2529.jpg)
SIKU YA WAJANE DUNIANI, ZAIDI YA WAJANE MILIONI 250 WANAISHI KATIKA DIMBWI LA UMASIKINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QDA_Hder4FI/XvHBvs1hMmI/AAAAAAALvCY/-DPixU5G2-ASyW6B1KVYIWC2V-R_7sUegCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault%25280%2529.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVKUPOTEZA wenza ni jambo linalovunja mioyo ya wanawake wengi duniani hasa kwa nchi zinazoendelea, wajane katika nchi hizo wamekuwa na muendelezo wa kutafuta mahitaji yao muhimu, haki zao pamoja na utu ambapo katika baadhi ya tamaduni nyingi za kiafrika huwachukulia wajane kwa namna ya tofauti ikiwemo kurithiwa na ndugu wa mume na...