KALIUA YATOA MKOPO WA MILIONI 345 KWA VIKUNDI 57 KATIKA KUSHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UKGEhBwGJyc/XmYK03GPH2I/AAAAAAALiLI/JfBrpfgN6IEBnRUBOpD7dwy_TCuH0PsEQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NA TIGANYA VINCENT
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imekabidhi mkopo wa shilingi milioni 345 kwa vikundi 57 ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato yake ya ndani katika mwaka wa fedha unaoendelea.
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Dkt. John Pima wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa yalifanyika jana Wilayani humo.
Alisema kati ya fedha hizo vikundi 28 vya wanawake vimepokea milioni 184, vikundi 19 vya vijana vimekopeshwa 133.5 na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g1gUM7lcqHQ/XtyWJVa4LbI/AAAAAAAC6_M/KW0ju0H3xR04NNrZUQeu0yAHSE-0HKFkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KALIUA YATOA MIKOPO YA MILIONI 332 KWA VIKUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g1gUM7lcqHQ/XtyWJVa4LbI/AAAAAAAC6_M/KW0ju0H3xR04NNrZUQeu0yAHSE-0HKFkACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mikopo hiyo imekabidhiwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jaffo kwa niaba ya uongozi wa Halmashauri hiyo.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhi mikopo hiyo , Mkurugenzi Mtendaji Dkt. John Pima alisema kati ya fedha shilingi milioni 215 kwa vikundi 38.
Alisema wametoa pikipiki 10...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b_h0a_mdxZA/XlkaxWPTtQI/AAAAAAALf3s/MLnDt2sjJ84KnzbtRz8SjrdiwVRrOBL-ACLcBGAsYHQ/s72-c/6a.jpg)
KALIUA YATOA MILIONI 10 WALIMU WALIOFANYA VIZURI KATIKA
NA TIGANYA VINCENT
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imetoa shilingi milioni 10 za motisha na vyeti kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri katika mitihani ya kitaifa.
Kauli hiyo imetolewa jana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Dkt. John Pima wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo.
Alisema kuwa lengo la kutoa fedha hizo ni kutoa motisha kwa ajili ya kuwahamisha walimu waongeze juhudi ili kuondoa daraja sifuri na daraja la nne.
Dkt. Pima alisema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WyBaGgWDJoo/VQA9cZdEF-I/AAAAAAABcy4/Rw2c3Zr095Y/s72-c/DSC_0121.jpg)
UWF YATOA MSAADA OCEAN ROAD SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-WyBaGgWDJoo/VQA9cZdEF-I/AAAAAAABcy4/Rw2c3Zr095Y/s1600/DSC_0121.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qxrMnI1Q__0/VQA9b6T_n4I/AAAAAAABcy0/93tbd4XNaps/s1600/DSC_0127.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bYwPYdYsKH0/VQA9cXQPoEI/AAAAAAABczE/McUkKjjw2KY/s1600/DSC_0161.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yCRZl0M3Xss/VQA9dDSOo2I/AAAAAAABczI/3EcDlCVKHYY/s1600/DSC_0175.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WoWFIzie2aQ/XmJiSfdfAiI/AAAAAAALhnI/cHJ9qLANNhYad0AuROOudvy-gvsqrBsgACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI6887.jpg)
BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020 KWA KUHAMASISHA USAWA WA KIJINSIA KATIKA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-WoWFIzie2aQ/XmJiSfdfAiI/AAAAAAALhnI/cHJ9qLANNhYad0AuROOudvy-gvsqrBsgACLcBGAsYHQ/s640/OTMI6887.jpg)
Benki ya CRDB imefanya hafla ya kusherehekea ‘Siku ya Wanawake Dunia’ ikilenga kuhamasisha usawa wa kijinsia katika jamii. Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alisema Benki ya CRDB inachukulia kwa umuhimu suala la kumuwezesha mwanamke na ndiomana
Benki hiyo imetoa kipaumbele cha ajira kwa...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-WyBaGgWDJoo/VQA9cZdEF-I/AAAAAAABcy4/Rw2c3Zr095Y/s1600/DSC_0121.jpg)
UWF YATOA MSAADA OCEAN ROAD SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9k0HeJ5BEYc/VP08amKdniI/AAAAAAAHIyQ/nNaIRPUQHmc/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
PPF KATIKA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9k0HeJ5BEYc/VP08amKdniI/AAAAAAAHIyQ/nNaIRPUQHmc/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZRUckSVhL44/VP08bElMd_I/AAAAAAAHIyY/TXIUZHMQfzg/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X9DSiH2Et20/VP08bBGenyI/AAAAAAAHIyU/Np1DW9FtzPE/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
5 years ago
MichuziTCRA YATOA ELIMU KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU -KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MLAJI DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-B-IPDkj-bv0/Xmon_dW3kCI/AAAAAAAAQdI/2A_4eCW4JII3jNM1aUI4GFvqxhZxG9H5ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200311_132258.jpg)
Mkuu wa Kanda ya Kaskazini Mhandisi Imelda Salum akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru...
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Siku ya wanawake Duniani: Ilikuwaje Machi 8 ikawa Siku ya Wanawake Duniani
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake
Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...