Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCRA YATOA ELIMU KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU -KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MLAJI DUNIANI


 Mmoja wa wanafunzi katika chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru akiuliza swali kwa Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA walipoenda chuoni hapo kutoa elimu namana ya matumizi sahihi ya Mitandao pamoja na kuwajengea uelewa namna ya kutunza usiri wa faragha zao.Wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru wakifuatilia kile kinachoendelea kutoka mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA

 Mkuu wa Kanda ya Kaskazini Mhandisi Imelda Salum akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha  Maendeleo ya Jamii Tengeru...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MUNGURI, KONDOA- DODOMA

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dkt. Pindi Hazara Chana (wa tatu kulia) akipatiwa maelezo wakati akikagua utoaji wa mafunzo katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, Kondoa, akiwa ameambatana na Uongozi wa Wilaya ya Kondoa.
Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana akiwa katika ziara hii ya Kikazi alipata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, kondoa ambacho ni miongoni mwa vyuo 55 vinavyotoa mafunzo ya elimu ya...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

DSCF3003Mgeni rasmi katika sherehe ya maadhimisho siku ya wanawake duniani  iliyondaliwa na Phenomenal Women Group, Mama Regina Lowassa akikata keki kuashiria ufunguzi rasmi wa kikundi hicho,Hafla iliyofanyika jana Machi 8/2014 katika ukumbi wa World Garden Moshono jijini Arusha, ambapo kampuni Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 ilishiriki kudhamini siku hiyo ya wanawake duniani. DSCF3007Mgeni rasmi Mama Regina Lowassa akifungua chupa ya wine,kushoto kwake ni Mwenyekiti wa kikundi hicho...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Nani ana haki ya kupata elimu katika jamii?

WAJIBU wa kila mzazi nchini mwenye mtoto aliyefikisha umri wa kwenda shule ni kuhakikisha mtoto huyo anakuwa darasani, lakini bado wapo wazazi wanaoshindwa kutekeleza wajibu huo.

Achilia mbali watoto wanaozurura mitaani kutokana na kukosa nafasi ya kwenda shule, lakini wapo pia watoto wanaoishi na wazazi wao lakini hawakupata wasaa wa kukaa darasani na kumsikiliza mwalimu kutokana na maisha duni ya wazazi wao.

Hata hivyo, ieleweke Tanzania ya sasa si ile ya zamani ambapo idadi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Siku ya Posta Duniani kuadhimishwa leo katika ofisi za TCRA jijini Dar es Salaam

Ofisa Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Joseph Ngowi, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam , kuhusu maadhimisho ya Siku ya Posta duniani, inayoadhimishwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini, kabla ya kumkaribisha Meneja Masoko wa shirika hilo, David George (kulia) kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu maadhimisho ya siku hiyo, leo jijini Dar.

Meneja Masoko wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), David George, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es...

 

9 years ago

Dewji Blog

Siku ya Posta Duniani kuadhimishwa leo katika ofisi TCRA jijini Dar es Salaam

Ofisa Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Joseph Ngowi, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam , kuhusu maadhimisho ya Siku ya Posta duniani, inayoadhimishwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini, kabla ya kumkaribisha Meneja Masoko wa shirika hilo, David George (kulia) kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu maadhimisho ya siku hiyo, leo jijini Dar.

Meneja Masoko wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), David George, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LAENDELEA KUWEKA UMUHIMU WA KULINDA WANYAMAPORI

IKIWA dunia bado inaendelea na mapambano dhidi ya mlipuko wa janga la virusi vya Corona (Covid-19) wito pia umetolewa na Umoja wa mataifa katika maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yanayoadhimishwa Juni tano kila mwaka huku kwa mwaka 2020 yakiwa yamebeba kauli mbiu ya  "Bayoanuai."

Katika maadhimisho hayo shirika la ndege la Emirates, likijua vizuri jukumu lake katika mfumo wa ikolojia kidunia limeendelea kufanya maendeleo katika kufikia malengo yake ya mazingira, ambapo limeonesha...

 

5 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA TUME ZA HAKI AWATAKA WANAWAKE KUJITATHIMINI MAENDELEO WALIYOYAFANYA KATIKA JAMII

 Kamishna wa Tume za Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Fatma Rashid Khalfan akizungumza na wandishi wa habari katika maadhimisho ya siku ya wanawake mkoani Dodoma leo. Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Felista Bura akizungumza na wananchi mbalimbali waliojitokeza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa wa Dodoma yamefanyika jijini Dodoma. Watumishi wanawake kutoka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji wakiwa kwenye maandamano ya siku ya wanawake duniani jijini Dodoma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani