TCRA YATOA ELIMU KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU -KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MLAJI DUNIANI
Mmoja wa wanafunzi katika chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru akiuliza swali kwa Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA walipoenda chuoni hapo kutoa elimu namana ya matumizi sahihi ya Mitandao pamoja na kuwajengea uelewa namna ya kutunza usiri wa faragha zao.
Wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru wakifuatilia kile kinachoendelea kutoka mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA
Mkuu wa Kanda ya Kaskazini Mhandisi Imelda Salum akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b7C-A6W7gvc/UwmwgwdZJtI/AAAAAAAFO0o/0oOZ4S1NkYU/s72-c/unnamed+(8).jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MUNGURI, KONDOA- DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7C-A6W7gvc/UwmwgwdZJtI/AAAAAAAFO0o/0oOZ4S1NkYU/s1600/unnamed+(8).jpg)
Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana akiwa katika ziara hii ya Kikazi alipata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, kondoa ambacho ni miongoni mwa vyuo 55 vinavyotoa mafunzo ya elimu ya...
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![DSCF3003](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/3_MDSEx8Y7reUUgR5dE6bZglZysJ6z2b35z7sSyhuEMOthZ7waB89wwae5oA2MTJ_Q2Z1XSt-DvsskaiGvLeFITqIF_WuU1w4hbe_EBCgx-kfw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3003.jpg)
![DSCF3007](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/J4PB8SjShqejUy1fYK1G1FkZ1NrJa4i2zmylPddkVpub61lyHeSTHvsptTaE4R71liRp6FJn4kUwcr1PA2pNHxWQvTGTE8tWQ8UqD4797nCh7w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3007.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Nani ana haki ya kupata elimu katika jamii?
WAJIBU wa kila mzazi nchini mwenye mtoto aliyefikisha umri wa kwenda shule ni kuhakikisha mtoto huyo anakuwa darasani, lakini bado wapo wazazi wanaoshindwa kutekeleza wajibu huo.
Achilia mbali watoto wanaozurura mitaani kutokana na kukosa nafasi ya kwenda shule, lakini wapo pia watoto wanaoishi na wazazi wao lakini hawakupata wasaa wa kukaa darasani na kumsikiliza mwalimu kutokana na maisha duni ya wazazi wao.
Hata hivyo, ieleweke Tanzania ya sasa si ile ya zamani ambapo idadi ya...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Siku ya Posta Duniani kuadhimishwa leo katika ofisi za TCRA jijini Dar es Salaam
Ofisa Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Joseph Ngowi, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam , kuhusu maadhimisho ya Siku ya Posta duniani, inayoadhimishwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini, kabla ya kumkaribisha Meneja Masoko wa shirika hilo, David George (kulia) kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu maadhimisho ya siku hiyo, leo jijini Dar.
Meneja Masoko wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), David George, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Siku ya Posta Duniani kuadhimishwa leo katika ofisi TCRA jijini Dar es Salaam
Ofisa Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Joseph Ngowi, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam , kuhusu maadhimisho ya Siku ya Posta duniani, inayoadhimishwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini, kabla ya kumkaribisha Meneja Masoko wa shirika hilo, David George (kulia) kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu maadhimisho ya siku hiyo, leo jijini Dar.
Meneja Masoko wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), David George, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s72-c/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LAENDELEA KUWEKA UMUHIMU WA KULINDA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s640/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
Katika maadhimisho hayo shirika la ndege la Emirates, likijua vizuri jukumu lake katika mfumo wa ikolojia kidunia limeendelea kufanya maendeleo katika kufikia malengo yake ya mazingira, ambapo limeonesha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LJs8iZx6DXE/XmU2NN3hG4I/AAAAAAALiA0/rhVzET75BxQHeQddpJDwmnzPLbyzNmWLACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.57.16%2BPM.jpeg)
KAMISHNA WA TUME ZA HAKI AWATAKA WANAWAKE KUJITATHIMINI MAENDELEO WALIYOYAFANYA KATIKA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-LJs8iZx6DXE/XmU2NN3hG4I/AAAAAAALiA0/rhVzET75BxQHeQddpJDwmnzPLbyzNmWLACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.57.16%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jw87WbpMqMg/XmU2LKSHV8I/AAAAAAALiAw/gR8z-CSb4TczWf8RA503sDYucKNBfkPMwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.59.10%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pXmWSF7aFjM/XmU2NEJzkbI/AAAAAAALiA4/3OIr5-Hv8ukkCYopz5Otap8NSaAQDrvEQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.59.29%2BPM.jpeg)