KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LAENDELEA KUWEKA UMUHIMU WA KULINDA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s72-c/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
IKIWA dunia bado inaendelea na mapambano dhidi ya mlipuko wa janga la virusi vya Corona (Covid-19) wito pia umetolewa na Umoja wa mataifa katika maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yanayoadhimishwa Juni tano kila mwaka huku kwa mwaka 2020 yakiwa yamebeba kauli mbiu ya "Bayoanuai."
Katika maadhimisho hayo shirika la ndege la Emirates, likijua vizuri jukumu lake katika mfumo wa ikolojia kidunia limeendelea kufanya maendeleo katika kufikia malengo yake ya mazingira, ambapo limeonesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTCRA YATOA ELIMU KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU -KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MLAJI DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-B-IPDkj-bv0/Xmon_dW3kCI/AAAAAAAAQdI/2A_4eCW4JII3jNM1aUI4GFvqxhZxG9H5ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200311_132258.jpg)
Mkuu wa Kanda ya Kaskazini Mhandisi Imelda Salum akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-14S8ebq9U3E/XmifUoPF5FI/AAAAAAALii4/uRU5uvu9JrgMhlD4m3osAOz62_mP57c1wCLcBGAsYHQ/s72-c/b89fbce1916b8a0f3903fa24818a2c63156bf0a7.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES KUBADILISHA RATIBA YA SAFARI SASA NI BURE.....
![](https://1.bp.blogspot.com/-14S8ebq9U3E/XmifUoPF5FI/AAAAAAALii4/uRU5uvu9JrgMhlD4m3osAOz62_mP57c1wCLcBGAsYHQ/s640/b89fbce1916b8a0f3903fa24818a2c63156bf0a7.jpg)
Shirika hilo limekuja na sera hizo kwa kuwakarimu wateja kwa kutoa machaguo zaidi katika kupanga mipango ya safari zao.
Imeelezwa kuwa shirika hilo limewapa uwezo wateja kubadili tarehe za safari zao bila makato kuanzia Machi 7 hadi 31 mwaka huu.
Pia imeelezwa kuwa wateja wa Emirates wanaweza kubadilisha ratiba za safari zao na hiyo ni kutokana na mlipuko wa virusi vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pzupjm9flls/XqMS1vcyDjI/AAAAAAALoJ0/gtfIZDIaH2cm-Gbd0BCnOChde0MjcUm4gCLcBGAsYHQ/s72-c/29a62745-8ce1-464c-a818-0681f1b5149e.jpg)
SHIRIKA la ndege la EMIRATES kuendeleza kuwajali wateja wao kutoa huduma bora
![](https://1.bp.blogspot.com/-pzupjm9flls/XqMS1vcyDjI/AAAAAAALoJ0/gtfIZDIaH2cm-Gbd0BCnOChde0MjcUm4gCLcBGAsYHQ/s640/29a62745-8ce1-464c-a818-0681f1b5149e.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Afisa Mkuu wa Biashara wa Shirika hilo Adnan Kazim imeeleza kuwa janga la Covid -19 halikutarajiwa na amewashukuru wabia wa biashara na wateja wao kwa kuwa wavumilivu, subira na waelewa katika kipindi hiki ambacho sheria zao si...
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![DSCF3003](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/3_MDSEx8Y7reUUgR5dE6bZglZysJ6z2b35z7sSyhuEMOthZ7waB89wwae5oA2MTJ_Q2Z1XSt-DvsskaiGvLeFITqIF_WuU1w4hbe_EBCgx-kfw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3003.jpg)
![DSCF3007](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/J4PB8SjShqejUy1fYK1G1FkZ1NrJa4i2zmylPddkVpub61lyHeSTHvsptTaE4R71liRp6FJn4kUwcr1PA2pNHxWQvTGTE8tWQ8UqD4797nCh7w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3007.jpg)
11 years ago
MichuziWWF TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANYAMAPORI DUNIANI,HUKO WILAYANI TUNDURU
![](http://4.bp.blogspot.com/-GwAaDS4FrVM/UxWjxYqbICI/AAAAAAAFRA0/vvg9qLS2vJU/s1600/New+Picture+(3).png)
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yt2W3KgPysw/U5GCJaBaSMI/AAAAAAAFoAA/EILNavfSPrw/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA KIWANDA CHA COCACOLA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-yt2W3KgPysw/U5GCJaBaSMI/AAAAAAAFoAA/EILNavfSPrw/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0jiZjVm1zBA/U5GCnrYGgMI/AAAAAAAFoA8/MZv--FVJbIk/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wn-I0fOCqA0/U5GCbmnmkmI/AAAAAAAFoAg/FFWHNa2LeCc/s1600/07.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oCbO-zL8ORM/U5GCYNSL5_I/AAAAAAAFoAY/ZkXFmdxLslc/s1600/06.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jiDa1Hg3A3U/UxthXtzn3pI/AAAAAAAFSGY/jCBWdWRCQBo/s72-c/unnamed+(24).jpg)
PPF YAMWAGA MISAADA TEMEKE HOSPITAL KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jiDa1Hg3A3U/UxthXtzn3pI/AAAAAAAFSGY/jCBWdWRCQBo/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lHq3NbP8W18/UxthYMhx80I/AAAAAAAFSGc/6WJm-Er9jFw/s1600/unnamed+(25).jpg)