SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES KUBADILISHA RATIBA YA SAFARI SASA NI BURE.....
![](https://1.bp.blogspot.com/-14S8ebq9U3E/XmifUoPF5FI/AAAAAAALii4/uRU5uvu9JrgMhlD4m3osAOz62_mP57c1wCLcBGAsYHQ/s72-c/b89fbce1916b8a0f3903fa24818a2c63156bf0a7.jpg)
SHIRIKA la ndege la Emirates limeanzisha sera mpya za nyongeza zitakazowapa uhuru wateja wao katika kupata huduma za usafiri.
Shirika hilo limekuja na sera hizo kwa kuwakarimu wateja kwa kutoa machaguo zaidi katika kupanga mipango ya safari zao.
Imeelezwa kuwa shirika hilo limewapa uwezo wateja kubadili tarehe za safari zao bila makato kuanzia Machi 7 hadi 31 mwaka huu.
Pia imeelezwa kuwa wateja wa Emirates wanaweza kubadilisha ratiba za safari zao na hiyo ni kutokana na mlipuko wa virusi vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Emirates yabadilisha safari za ndege
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pzupjm9flls/XqMS1vcyDjI/AAAAAAALoJ0/gtfIZDIaH2cm-Gbd0BCnOChde0MjcUm4gCLcBGAsYHQ/s72-c/29a62745-8ce1-464c-a818-0681f1b5149e.jpg)
SHIRIKA la ndege la EMIRATES kuendeleza kuwajali wateja wao kutoa huduma bora
![](https://1.bp.blogspot.com/-pzupjm9flls/XqMS1vcyDjI/AAAAAAALoJ0/gtfIZDIaH2cm-Gbd0BCnOChde0MjcUm4gCLcBGAsYHQ/s640/29a62745-8ce1-464c-a818-0681f1b5149e.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Afisa Mkuu wa Biashara wa Shirika hilo Adnan Kazim imeeleza kuwa janga la Covid -19 halikutarajiwa na amewashukuru wabia wa biashara na wateja wao kwa kuwa wavumilivu, subira na waelewa katika kipindi hiki ambacho sheria zao si...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s72-c/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LAENDELEA KUWEKA UMUHIMU WA KULINDA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s640/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
Katika maadhimisho hayo shirika la ndege la Emirates, likijua vizuri jukumu lake katika mfumo wa ikolojia kidunia limeendelea kufanya maendeleo katika kufikia malengo yake ya mazingira, ambapo limeonesha...
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Shirika la ndege la flydubai wazindua safari zao nchini Tanzania
Makamu wa Rais mwandamizi katika shughuli za kibiashara wa shirika la ndege la FlyDubai, Bwa.Sudhir Sreedharan akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali jana kwenye uwanja wa kimataifa wa Jk Nyerere Kwenye Uzinduzi wa Shirika jipya la ndege la Fly Dubai.
Shirika Jipya la Ndege la Fly Dubai Jana Wamezindua safari zao nchini kwa gharama za bei nafuu,pia ndege hiyo itakuwa ikiruka moja kwa moja pia kutokea Zanzibar kwenda Dubai
Balozi mdogo wa Tanzania nchini Dubai Mh. Omar Mjenga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e73bEwjSCb0/XumxeSbwsTI/AAAAAAALuKg/zqdgUnPLNnkCThR4rQwsR-FI1yos_4LYACLcBGAsYHQ/s72-c/d7493b52-4158-4bd6-aec0-232cd95dcdfe.jpg)
TTB YAFURAHISHWA NA KUREJEA KWA SAFARI ZA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-e73bEwjSCb0/XumxeSbwsTI/AAAAAAALuKg/zqdgUnPLNnkCThR4rQwsR-FI1yos_4LYACLcBGAsYHQ/s640/d7493b52-4158-4bd6-aec0-232cd95dcdfe.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/93d8694d-6df2-495f-8149-527e6cbec45f.jpg)
Mgeni akipimwa joto la mwili punde aliposhuka kutoka katika ndege
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/825c59ce-8255-4584-82b5-6f580c00321c.jpg)
Wageni wakisimama kwa kusingatia alama zinazowaongoza kusimama umbali wa mita moja zilizowekwa na uongozi wa JNIA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7255c564-7f94-43e4-83eb-39b9ef6b20d7.jpg)
Mizigo yz wageni ikipuliziwa dawa kabla ya kuruhusiwa kuzunguka katika mashine ya kusambazia mizigo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a6709956-1036-4070-8fce-b2ecacdc384e.jpg)
Wageni wakisubiri mizigo yao kwa kufuata utaratibu wa kusimama umbali wa mita moja....
10 years ago
VijimamboSHIRIKA LA NDEGE LA FLY DUBAI WAZINDUA SAFARI ZAO NCHINI TANZANIA