SHIRIKA la ndege la EMIRATES kuendeleza kuwajali wateja wao kutoa huduma bora
![](https://1.bp.blogspot.com/-pzupjm9flls/XqMS1vcyDjI/AAAAAAALoJ0/gtfIZDIaH2cm-Gbd0BCnOChde0MjcUm4gCLcBGAsYHQ/s72-c/29a62745-8ce1-464c-a818-0681f1b5149e.jpg)
SHIRIKA la ndege la EMIRATES Iimeeleza kuendeleza kujali wateja wao katika utolewaji wa huduma bora hasa katika wakati huu wa mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19) vilivyosambaa kote duniani.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Afisa Mkuu wa Biashara wa Shirika hilo Adnan Kazim imeeleza kuwa janga la Covid -19 halikutarajiwa na amewashukuru wabia wa biashara na wateja wao kwa kuwa wavumilivu, subira na waelewa katika kipindi hiki ambacho sheria zao si...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAWAKALA WA VODACOM TANZANIA WAPIGWA MSASA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA
9 years ago
MichuziMAKAMPUNI YA MAWASILINANO YA SIMU YATAKIWA KUBORESHA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAO ILI KUONDOA MALALAMIKO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-14S8ebq9U3E/XmifUoPF5FI/AAAAAAALii4/uRU5uvu9JrgMhlD4m3osAOz62_mP57c1wCLcBGAsYHQ/s72-c/b89fbce1916b8a0f3903fa24818a2c63156bf0a7.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES KUBADILISHA RATIBA YA SAFARI SASA NI BURE.....
![](https://1.bp.blogspot.com/-14S8ebq9U3E/XmifUoPF5FI/AAAAAAALii4/uRU5uvu9JrgMhlD4m3osAOz62_mP57c1wCLcBGAsYHQ/s640/b89fbce1916b8a0f3903fa24818a2c63156bf0a7.jpg)
Shirika hilo limekuja na sera hizo kwa kuwakarimu wateja kwa kutoa machaguo zaidi katika kupanga mipango ya safari zao.
Imeelezwa kuwa shirika hilo limewapa uwezo wateja kubadili tarehe za safari zao bila makato kuanzia Machi 7 hadi 31 mwaka huu.
Pia imeelezwa kuwa wateja wa Emirates wanaweza kubadilisha ratiba za safari zao na hiyo ni kutokana na mlipuko wa virusi vya...
10 years ago
Michuzi14 Dec
PSPF YAPATA TUZO YA KIMATAIFA KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAKE
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/unnamed267.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s72-c/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LAENDELEA KUWEKA UMUHIMU WA KULINDA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s640/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
Katika maadhimisho hayo shirika la ndege la Emirates, likijua vizuri jukumu lake katika mfumo wa ikolojia kidunia limeendelea kufanya maendeleo katika kufikia malengo yake ya mazingira, ambapo limeonesha...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTG3RlXYs9lzAzhsgzuaZiuergw2no4NYSh5Lr-MuDvQD6NjBZO0WeVlfMDAaTCPg3WYTlEDvMgF62Z81CYoCIGD/1.jpg)
AIRTEL YAJA NA HUDUMA MPYA YA KUTOA PUNGUZO KWA WATEJA
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gMPWl_1mMWE/XklqiGjC3XI/AAAAAAALdlA/kvV4Gnv18F45QsO41psQpoo1BUyhAFgXACLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Absa Tanzania yawahakikishia wateja wake huduma bora zaidi
![](https://1.bp.blogspot.com/-gMPWl_1mMWE/XklqiGjC3XI/AAAAAAALdlA/kvV4Gnv18F45QsO41psQpoo1BUyhAFgXACLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)