Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PPF YAMWAGA MISAADA TEMEKE HOSPITAL KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

 Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Kanda ya Temeke jijini Dar es Salaam, Erica Sendegeya (Kushoto) na Mama wa Mapacha, Lucy Raphael (Kulia), wakifurahi, huku Erica akiwa amewabeba watoto  wakati Wafanyakazi Wanawake wa Mfuko huo, walipotembelea hospitali ya Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, Jumamosi Machi 8, 2014, ili kuwafariji na kuwapatia misada, baada ya wafanyakazi hao kushiriki matembezi ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani kwenye viwanja vya Mwembeyanga.  Meneja wa Mfuko...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

PPF YAMWAGA MISADA TEMEKE HOSPITAL SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

 Wafanyakazi Wanawake wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakiungana na wanawake wenzao kusherehekea siku ya Wanawake Duniani kwenye viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es Salaam, Jumamosi Machi 8, 2014.  Lucy Raphael (Kulia), akifurahia jambo na wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, baada ya kumtembelea na kumpatia zawadi kwenye hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam jana. Lucy ambaye amejifungua watoto mapacha ni miongoni mwa watu waliofaidika na zawadi mbalimbali zilizotolewa na...

 

10 years ago

Michuzi

PPF KATIKA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Wafanyakazi wanawake wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakishiriki matembezi kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani,leo Jumapili Machi 8, 2015, ambapo jijini Dar es Salaam yalifanyika viwanja vya Mnazi Mmoja.Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, akipunga mkono kupokea washiriki wa matembezi ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Jumapili Machi 8, 2015.

 

10 years ago

Dewji Blog

CRDB Singida yasheherekea siku ya wanawake kwa kutoa misaada Hospital ya Mkoa

DSC04439

Meneja wa CRDB benki mkoa wa Singida, Edith Maganga (kushoto) akimkabidhi kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Ernest Mgeta msaada wa vyandarua 70 na sabauni wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.Msaada huo umewanufaisha akina mama waliolazwa katika wodi za akina mama wajawazito na waliojifungua.CRDB pia ilikarabati taa katika wodi hizo tatu na kufanya usafi katika maeneo yanayozunguka wodi hizo.

Na Nathaniel Limu,...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA BENKI YA NBC WAJITOLEA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Rukia Mtingwa (kushoto) akiwaongoza baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo katika tukio la kujitolea damu lililoandaliwa na benki hiyo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani jijini Dar es Salaam jana.Meneja Mahusiano ya Kibiashara wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Lukemelelo Kaduma (katikati) akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya wafanyakazi wa NBC kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani jijini Dar es Salaam mwishoni jana....

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUADHIMISHA NA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA MIAKA 25 BAADA YA BEIJING

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana kwa Ishara na Baadhi ya wajumbe wa Kongamano la Wanawake katika kutekeleza  ushauri wa Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.  Ummy Mwalimu kuhusu  tahadhari  dhidi ya Virusi vya Ugonjwa wa  Corona, alipowasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Hyatt Regency Jijini Dar es salaam leo March 04,2020 kwa ajili ya kufungua Kongamano la kuadhimisha na kusherehekea siku ya Wanawake Duniani...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

DSCF3003Mgeni rasmi katika sherehe ya maadhimisho siku ya wanawake duniani  iliyondaliwa na Phenomenal Women Group, Mama Regina Lowassa akikata keki kuashiria ufunguzi rasmi wa kikundi hicho,Hafla iliyofanyika jana Machi 8/2014 katika ukumbi wa World Garden Moshono jijini Arusha, ambapo kampuni Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 ilishiriki kudhamini siku hiyo ya wanawake duniani. DSCF3007Mgeni rasmi Mama Regina Lowassa akifungua chupa ya wine,kushoto kwake ni Mwenyekiti wa kikundi hicho...

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya wanawake Duniani: Ilikuwaje Machi 8 ikawa Siku ya Wanawake Duniani

Tunaangazia siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka kuanzi jinsi siku hii muhimu iliyobuniwa zaidi ya karne moja ilyopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Wilaya ya Tanga walivyojipanga kuadhimisha Siku ya Wanawake

Siku ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila inapofika Machi 8 kila mwaka kwa lengo la kutathmini maisha ya mwanamke na nini cha kufanya ili aweze kuendelea kuyafurahia maisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanini kuadhimisha Siku ya Wanawake nusu utupu?

DUNIA imekuwa ikiadhimisha Siku ya Wanawake ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka. Siku hiyo imekuwa ikiadhimishwa kwa shughuli mbalimbali zinazowahusu wanawake moja kwa moja katika nyanja tofauti. Safari hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani