PPF YAMWAGA MISAADA TEMEKE HOSPITAL KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jiDa1Hg3A3U/UxthXtzn3pI/AAAAAAAFSGY/jCBWdWRCQBo/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Kanda ya Temeke jijini Dar es Salaam, Erica Sendegeya (Kushoto) na Mama wa Mapacha, Lucy Raphael (Kulia), wakifurahi, huku Erica akiwa amewabeba watoto wakati Wafanyakazi Wanawake wa Mfuko huo, walipotembelea hospitali ya Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, Jumamosi Machi 8, 2014, ili kuwafariji na kuwapatia misada, baada ya wafanyakazi hao kushiriki matembezi ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani kwenye viwanja vya Mwembeyanga.
Meneja wa Mfuko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kq-wmBRzpt8/UxtejndvoJI/AAAAAAACb20/6zjceNh_tzc/s72-c/PPF+WOMENS+DAY+(12).jpg)
PPF YAMWAGA MISADA TEMEKE HOSPITAL SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kq-wmBRzpt8/UxtejndvoJI/AAAAAAACb20/6zjceNh_tzc/s1600/PPF+WOMENS+DAY+(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hLJs7YmOmoE/UxtejkZxv1I/AAAAAAACb2s/5-6gtt2Uw5M/s1600/PPF+WOMENS+DAY+(13).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9k0HeJ5BEYc/VP08amKdniI/AAAAAAAHIyQ/nNaIRPUQHmc/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
PPF KATIKA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9k0HeJ5BEYc/VP08amKdniI/AAAAAAAHIyQ/nNaIRPUQHmc/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZRUckSVhL44/VP08bElMd_I/AAAAAAAHIyY/TXIUZHMQfzg/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X9DSiH2Et20/VP08bBGenyI/AAAAAAAHIyU/Np1DW9FtzPE/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
CRDB Singida yasheherekea siku ya wanawake kwa kutoa misaada Hospital ya Mkoa
Meneja wa CRDB benki mkoa wa Singida, Edith Maganga (kushoto) akimkabidhi kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Ernest Mgeta msaada wa vyandarua 70 na sabauni wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.Msaada huo umewanufaisha akina mama waliolazwa katika wodi za akina mama wajawazito na waliojifungua.CRDB pia ilikarabati taa katika wodi hizo tatu na kufanya usafi katika maeneo yanayozunguka wodi hizo.
Na Nathaniel Limu,...
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA NBC WAJITOLEA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUADHIMISHA NA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA MIAKA 25 BAADA YA BEIJING
![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![DSCF3003](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/3_MDSEx8Y7reUUgR5dE6bZglZysJ6z2b35z7sSyhuEMOthZ7waB89wwae5oA2MTJ_Q2Z1XSt-DvsskaiGvLeFITqIF_WuU1w4hbe_EBCgx-kfw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3003.jpg)
![DSCF3007](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/J4PB8SjShqejUy1fYK1G1FkZ1NrJa4i2zmylPddkVpub61lyHeSTHvsptTaE4R71liRp6FJn4kUwcr1PA2pNHxWQvTGTE8tWQ8UqD4797nCh7w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/03/dscf3007.jpg)
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Siku ya wanawake Duniani: Ilikuwaje Machi 8 ikawa Siku ya Wanawake Duniani
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Wilaya ya Tanga walivyojipanga kuadhimisha Siku ya Wanawake
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Yanini kuadhimisha Siku ya Wanawake nusu utupu?
DUNIA imekuwa ikiadhimisha Siku ya Wanawake ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka. Siku hiyo imekuwa ikiadhimishwa kwa shughuli mbalimbali zinazowahusu wanawake moja kwa moja katika nyanja tofauti. Safari hii...