CRDB Singida yasheherekea siku ya wanawake kwa kutoa misaada Hospital ya Mkoa
Meneja wa CRDB benki mkoa wa Singida, Edith Maganga (kushoto) akimkabidhi kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Ernest Mgeta msaada wa vyandarua 70 na sabauni wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.Msaada huo umewanufaisha akina mama waliolazwa katika wodi za akina mama wajawazito na waliojifungua.CRDB pia ilikarabati taa katika wodi hizo tatu na kufanya usafi katika maeneo yanayozunguka wodi hizo.
Na Nathaniel Limu,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jiDa1Hg3A3U/UxthXtzn3pI/AAAAAAAFSGY/jCBWdWRCQBo/s72-c/unnamed+(24).jpg)
PPF YAMWAGA MISAADA TEMEKE HOSPITAL KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jiDa1Hg3A3U/UxthXtzn3pI/AAAAAAAFSGY/jCBWdWRCQBo/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lHq3NbP8W18/UxthYMhx80I/AAAAAAAFSGc/6WJm-Er9jFw/s1600/unnamed+(25).jpg)
11 years ago
GPLTAASISI YA TWA YASHEHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA KITUO CHA CHAWAWAKI MJI MWEMA KIGAMBONI
Mrembo wa Tanzania Happiness Watimanywa akikabidhi baiskeli kwa mwenyekiti wa Chawawaki Bi. Reberata Jovin kwenye sherehe zenye lengo la kusaidia kikundi hicho, ambazo zimeandaliwa na taasisi ya TWA. Mshauri nasaha na mtoa mafunzo wa CCBRT,Bi. Mgaya Mhamanda akiongea na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa…
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-s37BgFY42Lk/U2Z8FWP8QdI/AAAAAAAFfYM/ou7Aa3iRadg/s72-c/unnamed+(67).jpg)
wanahabari lindi washerehekea siku ya uhuru wa habari kwa kupima afya na kutoa misaada hospitali
WANAHABARI mkoa wa Wa Lindi wakiongozwa na Mwenyekiti wao Bw Abdulaziz Ahmeid wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani kwa kutoa msaada kwa jamiii baada ya kutoa msaada wa Vifaa mbalimbali katika wodi za wazazi na watoto katika Hospital ya Rufaa ya Sokoine Mkoani Lindi
Wanahabari hapo pia walipimwa afya zao na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoani humo ili kila mmoja afanye kazi zake huku akijua Afya yake
Akiongea baada ya hafla hizo Bw. Abdulaziz Ahmeid alieleza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WoWFIzie2aQ/XmJiSfdfAiI/AAAAAAALhnI/cHJ9qLANNhYad0AuROOudvy-gvsqrBsgACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI6887.jpg)
BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020 KWA KUHAMASISHA USAWA WA KIJINSIA KATIKA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-WoWFIzie2aQ/XmJiSfdfAiI/AAAAAAALhnI/cHJ9qLANNhYad0AuROOudvy-gvsqrBsgACLcBGAsYHQ/s640/OTMI6887.jpg)
Benki ya CRDB imefanya hafla ya kusherehekea ‘Siku ya Wanawake Dunia’ ikilenga kuhamasisha usawa wa kijinsia katika jamii. Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alisema Benki ya CRDB inachukulia kwa umuhimu suala la kumuwezesha mwanamke na ndiomana
Benki hiyo imetoa kipaumbele cha ajira kwa...
10 years ago
MichuziKIPINDI CHA MASKANI YA TIMES FM WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MSAADA KATIKA HOSPITALI YA MWANAYAMALA, DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kq-wmBRzpt8/UxtejndvoJI/AAAAAAACb20/6zjceNh_tzc/s72-c/PPF+WOMENS+DAY+(12).jpg)
PPF YAMWAGA MISADA TEMEKE HOSPITAL SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kq-wmBRzpt8/UxtejndvoJI/AAAAAAACb20/6zjceNh_tzc/s1600/PPF+WOMENS+DAY+(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hLJs7YmOmoE/UxtejkZxv1I/AAAAAAACb2s/5-6gtt2Uw5M/s1600/PPF+WOMENS+DAY+(13).jpg)
10 years ago
MichuziBANKI YA CRDB TAWI LA WATER FRONT WATOA MISAADA KWA WATOTO WANAOLELEWA MSIMBAZI CENTER.
Baadhi ya Wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Water Front wakitoa misaada katika kituo cha kulelea watoto wa chini ya miaka minne(4) yatima katika kituo cha Msimbazi Chidrens Home kilichopo Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam leo.
Crediti manaja wa Benki ya CRDB, tawi la Water front, Isaya Lyimo akimpa maelekezo Sista wa kituo cha watoto yatima cha Msimbazi Chidrens Home kilichopo Msimbazi Centre, Sista Anna Marandu mara baada ya wafanykazi wa tawi hilo kutoa msaada wa vitu mbalimbali...
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Ajitolea kutoa ubikira siku ya wanawake
Mwanamume mmoja amejitolea kutoa ubikira wake wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania