Yanini kuadhimisha Siku ya Wanawake nusu utupu?
DUNIA imekuwa ikiadhimisha Siku ya Wanawake ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka. Siku hiyo imekuwa ikiadhimishwa kwa shughuli mbalimbali zinazowahusu wanawake moja kwa moja katika nyanja tofauti. Safari hii...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Wilaya ya Tanga walivyojipanga kuadhimisha Siku ya Wanawake
Siku ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila inapofika Machi 8 kila mwaka kwa lengo la kutathmini maisha ya mwanamke na nini cha kufanya ili aweze kuendelea kuyafurahia maisha.
5 years ago
Michuzi
TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE WA AFRIKA JULAI 31 KILA MWAKA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiwa na mmoja wa Muasisi wa PAWO Bibi.Tecla Sumbo mara baada ya kufungua mkutano wa waasisi wa Umoja wa Jumuiya za Wanawake katika nchi huru za Afika (PAWO) tawi la Tanzania na Wizara uliolenga kutoa maoni yao katika uboreshaji wa Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza wakati mkutano na waasisi...
11 years ago
Michuzi.jpg)
PPF YAMWAGA MISAADA TEMEKE HOSPITAL KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
.jpg)
.jpg)
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA NBC WAJITOLEA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI


5 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUADHIMISHA NA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA MIAKA 25 BAADA YA BEIJING

11 years ago
GPL
BATULI AKUBALI KUIGIZA NUSU UTUPU
MWANADAFADA mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa kwa sasa yupo tayari kuigiza nusu utupu kwa sinema za nje ya nchi. Mwanadafada mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Akipiga stori mbili-tatu na kona hii, Batuli alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa zinafungiwa kwa kukosa maadili na kwamba kama ikitokea nafasi akaitwa nje ya nchi kuigiza sini hizo, atakuwa...
11 years ago
GPL
SHAA, LINAH WACHUANA KI-NUSU UTUPU
Stori: Musa Mateja
Katika hali ya kushangaza, mastaa wa kike wa muziki, Esterlina Sanga ‘Linah’ na mwenzake Sarah Kaisi ‘Shaa’ waliibua gumzo kufuatia kuchuana kwa kupozi kihasara mbele ya kamera. Staa wa muziki wa kizazi kipya Esterlina Sanga ‘Linah’. Ilikuwa ndani ya Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar kulikokuwa na Tamasha la Fiesta ambapo paparazi wetu alipokuwa ‘back...
11 years ago
GPL
LULU: WATURUHUSU TUIGIZE NUSU UTUPU
Na Andrew Carlos
DIVA wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameziomba mamlaka zinazosimamia maadili ya filamu nchini ziwaruhusu wasanii waigize nusu utupu ili kuendana na soko la kimataifa. Akitetea hoja yake mbele ya paparazi wetu, staa huyo aliyeitendea haki filamu ya Foolish Age alitolea mfano Tamthiliya ya Shuga iliyomtoa Lupita Nyong’o ambayo alicheza akiwa nusu utupu. “Wanasema...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania