TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE WA AFRIKA JULAI 31 KILA MWAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uiquAjs2VZQ/XkV3mjLgZZI/AAAAAAALdS0/DpNjENDFG-gOnwj1-GcyoO9kSf1Mr-u4QCLcBGAsYHQ/s72-c/4-16.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiwa na mmoja wa Muasisi wa PAWO Bibi.Tecla Sumbo mara baada ya kufungua mkutano wa waasisi wa Umoja wa Jumuiya za Wanawake katika nchi huru za Afika (PAWO) tawi la Tanzania na Wizara uliolenga kutoa maoni yao katika uboreshaji wa Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza wakati mkutano na waasisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sE0uJZqk76M/UxbtcAQNOTI/AAAAAAAFRK8/H5yvythy6KA/s72-c/9a66dc56985e2f5f7def2f0d1f5e67f5_XL.jpg)
Tanzania kuadhimisha Siku ya APRM Afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-sE0uJZqk76M/UxbtcAQNOTI/AAAAAAAFRK8/H5yvythy6KA/s1600/9a66dc56985e2f5f7def2f0d1f5e67f5_XL.jpg)
Machi 9 mwaka huu Tanzania itaungana na nchi nyingine za Afrika wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) kuadhimisha siku ya APRM barani humu.
Akizungumza na gazeti hili Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa APRM Tanzania, Hassan Abbas alisema azimio la kusherehekea Siku ya APRM lilipitishwa Januari mwaka jana katika kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM kilichofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
“Kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LRmx4X25Es/ViYUIE2wFwI/AAAAAAAIBGw/V3JfPTA1GP8/s72-c/Tume%2B01.jpg)
TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LRmx4X25Es/ViYUIE2wFwI/AAAAAAAIBGw/V3JfPTA1GP8/s640/Tume%2B01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cuxQZIZ65mM/ViYUJ52aHLI/AAAAAAAIBHM/XI9IUn3Q-_w/s640/Tume%2B06.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-Sx3VoK6o0LI/VS4SV6wZv8I/AAAAAAAACFE/M7h1GCxNr38/s72-c/page%2B12%2B-13%2Bcopy.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Wilaya ya Tanga walivyojipanga kuadhimisha Siku ya Wanawake
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Yanini kuadhimisha Siku ya Wanawake nusu utupu?
DUNIA imekuwa ikiadhimisha Siku ya Wanawake ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka. Siku hiyo imekuwa ikiadhimishwa kwa shughuli mbalimbali zinazowahusu wanawake moja kwa moja katika nyanja tofauti. Safari hii...
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA NBC WAJITOLEA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jiDa1Hg3A3U/UxthXtzn3pI/AAAAAAAFSGY/jCBWdWRCQBo/s72-c/unnamed+(24).jpg)
PPF YAMWAGA MISAADA TEMEKE HOSPITAL KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jiDa1Hg3A3U/UxthXtzn3pI/AAAAAAAFSGY/jCBWdWRCQBo/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lHq3NbP8W18/UxthYMhx80I/AAAAAAAFSGc/6WJm-Er9jFw/s1600/unnamed+(25).jpg)
11 years ago
MichuziSherehe za Kuadhimisha Siku ya Afrika Zafana jijini Dar es Salaam
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUADHIMISHA NA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA MIAKA 25 BAADA YA BEIJING
![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)