TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LRmx4X25Es/ViYUIE2wFwI/AAAAAAAIBGw/V3JfPTA1GP8/s72-c/Tume%2B01.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Idd Ramadhan Mapuri akiwasalimia wazee na watetezi wa haki za binadamu (hawapo pichani) wakati wa semina juu ya haki za wazee mapema hii leo jijini Dar es Saam.
Baadhi ya wazee na watetezi wa haki za binadamu walioshiriki semina elekezi juu ya haki za wazee wakimsikiliza kwa makini Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi. Mary Massay wakati akitoa neno la ufunguzi mapema hii leo jijini Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s72-c/1.jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jiUFRYnO2s/VijHclt6wII/AAAAAAAAE58/VpaB20eNO_8/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HwLSGqa5iPA/VijHzxQEmKI/AAAAAAAAE6E/QO2UWhpIRX8/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sE0uJZqk76M/UxbtcAQNOTI/AAAAAAAFRK8/H5yvythy6KA/s72-c/9a66dc56985e2f5f7def2f0d1f5e67f5_XL.jpg)
Tanzania kuadhimisha Siku ya APRM Afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-sE0uJZqk76M/UxbtcAQNOTI/AAAAAAAFRK8/H5yvythy6KA/s1600/9a66dc56985e2f5f7def2f0d1f5e67f5_XL.jpg)
Machi 9 mwaka huu Tanzania itaungana na nchi nyingine za Afrika wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) kuadhimisha siku ya APRM barani humu.
Akizungumza na gazeti hili Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa APRM Tanzania, Hassan Abbas alisema azimio la kusherehekea Siku ya APRM lilipitishwa Januari mwaka jana katika kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM kilichofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
“Kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uiquAjs2VZQ/XkV3mjLgZZI/AAAAAAALdS0/DpNjENDFG-gOnwj1-GcyoO9kSf1Mr-u4QCLcBGAsYHQ/s72-c/4-16.jpg)
TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE WA AFRIKA JULAI 31 KILA MWAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uiquAjs2VZQ/XkV3mjLgZZI/AAAAAAALdS0/DpNjENDFG-gOnwj1-GcyoO9kSf1Mr-u4QCLcBGAsYHQ/s640/4-16.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiwa na mmoja wa Muasisi wa PAWO Bibi.Tecla Sumbo mara baada ya kufungua mkutano wa waasisi wa Umoja wa Jumuiya za Wanawake katika nchi huru za Afika (PAWO) tawi la Tanzania na Wizara uliolenga kutoa maoni yao katika uboreshaji wa Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-25.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza wakati mkutano na waasisi...
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Haki za Binadamu Afrika, kusikilizwa?
9 years ago
Habarileo10 Oct
Afrika yatakiwa kuridhia itifaki haki za binadamu
RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(ACHPR), Jaji Augustino Ramadhani amewataka wabunge barani Afrika kuzishinikiza nchi zao kuridhia itifaki ya haki za binadamu iliyokubaliwa miaka 18 iliyopita.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bq9Z31SZDrU/VNPI0TLrYiI/AAAAAAAHCFY/c3_S1nyii8Y/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
RAIS WA UJERUMANI AVUTIWA NA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-bq9Z31SZDrU/VNPI0TLrYiI/AAAAAAAHCFY/c3_S1nyii8Y/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y4lO13NhOjc/VNPI_aI47SI/AAAAAAAHCFg/cZ-SVUm_baM/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-otSyiaKNuIk/VNPJAz7MIaI/AAAAAAAHCFo/TRCC_kTmpf0/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Habarileo24 Nov
Jaji Ramadhani ataka Afrika kuzingatia haki za binadamu
RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) Jaji Augustino Ramadhani amezitaka nchi za Afrika kuzingatia zaidi masuala ya haki za binadamu kama kweli zinataka kupiga hatua za kiuchumi na kidemokrasia.
10 years ago
GPLMAADHIMISHO YA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU DUNIANI YAFANYIKA JIJINI DAR