Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu wa Korea kila April 15, husherehekea kuzaliwa kwa Rais wao Kim Il Sung aliyezaliwa mwaka 1912 na kufariki mwaka 1994, ambapo huiita siku hiyo, Siku ya Jua!



Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Wanawake 8,500 kufariki dunia kila mwaka kwa sababu ya ujauzito

DSC07909

Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Evidence for Action (E4A) Tanzania,Craig John Felar, akitoa mada yake juu ya kampeni ya ‘Muokoe Mama muokoe mtoto mchanga’ (Mama ye) kwenye semina iliyohudhuriwa na baadhi ya viongozi kutoka vilabu vya waandishi  habari mikoa mbalimbali nchini .Semina hiyo ya siku mbili iliyoandaliwa na UTPC,ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Lion hotel jijini Dar.

DSC07908DSC07908

Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vilabu vya waandishi wa habari Tanzania ,wakifuatlia...

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE WA AFRIKA JULAI 31 KILA MWAKA






Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiwa na mmoja wa Muasisi wa PAWO Bibi.Tecla Sumbo mara baada ya kufungua mkutano wa waasisi wa Umoja wa Jumuiya za Wanawake katika nchi huru za Afika (PAWO) tawi la Tanzania na Wizara uliolenga kutoa maoni yao katika uboreshaji wa Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza wakati mkutano na waasisi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto milioni 2 kuzaliwa kila mwaka China

Uchina yalegeza sera yake ya mtoto 1 kwa familia ili kukabiliana na tisho la kiuchumi la kupungukiwa na nguvu kazi za vijana.

 

10 years ago

Mwananchi

Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi

Kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mtindo wa maisha umebadilika ikiwamo watu wengi kutumia usafiri wa magari hata kwa safari ya umbali mfupi

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA DAWOOD BOHRA, TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KIONGOZI WAO

Binti wa jumuiya ya Dawood Bohra nchini Tanzania, akiwa ameshikilia bango lenye picha ya Sheikh Syedna Burhanuddin (RA), wakati wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa kiongozi wa 53 wa madhehebu hayo, Syedna Mufaddal Saifuddin, (TUS), jijini Dar es Salaam Jumamosi jioni, Februari 14, 2015. Maadhimisho hayo yalipambwa na matembezi ya waumini wa madhehebu hayo, ambapo vijana walionyesha vipaji vyao, michezo namavazi mbalimbali yakiwemo yale ya kimasai. Pia matembezi hayo yaliongozwa na brass band ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Siku mbili hutumika kutafuta mahali pa kujisadia kwa mwaka

>Kuna mambo unaweza kudhani ni ya kawaida na kwamba hayana tatizo lolote, lakini yanapokukuta ndipo utabaini kilichokuwa kimejificha nyuma ya pazia.

 

9 years ago

CCM Blog

MBUNGE AYSHAROSE AUNGA MKONO UAMUZI WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU MWAKA HUU

MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema Rais Dk. John Magufuli ni kiongozi mwenye kujali maslahi ya Watanzania hivyo maamuzi ya kuwataka wananchi kusherehekea kumbukumbu ya Uhuru kwa kufanya kazi na usafi, umeonyesha dhamira safi ya kiongozi huyo kwa wananchi.

Amesema, uamuzi huo umejali maslahi ya taifa kwa sababu fedha nyingi zingetumika kwenye masuala yasiyokuwa na ulazima kwa wananchi.

Pia, ametoa rai kwa watumishi na viongozi wenzake wa serikali kufanyakazi kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani