Nani ana haki ya kupata elimu katika jamii?
WAJIBU wa kila mzazi nchini mwenye mtoto aliyefikisha umri wa kwenda shule ni kuhakikisha mtoto huyo anakuwa darasani, lakini bado wapo wazazi wanaoshindwa kutekeleza wajibu huo.
Achilia mbali watoto wanaozurura mitaani kutokana na kukosa nafasi ya kwenda shule, lakini wapo pia watoto wanaoishi na wazazi wao lakini hawakupata wasaa wa kukaa darasani na kumsikiliza mwalimu kutokana na maisha duni ya wazazi wao.
Hata hivyo, ieleweke Tanzania ya sasa si ile ya zamani ambapo idadi ya...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’
5 years ago
MichuziTCRA YATOA ELIMU KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU -KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MLAJI DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-B-IPDkj-bv0/Xmon_dW3kCI/AAAAAAAAQdI/2A_4eCW4JII3jNM1aUI4GFvqxhZxG9H5ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200311_132258.jpg)
Mkuu wa Kanda ya Kaskazini Mhandisi Imelda Salum akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Mtoto wa kike anavyosongwa katika safari ya kupata elimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LJs8iZx6DXE/XmU2NN3hG4I/AAAAAAALiA0/rhVzET75BxQHeQddpJDwmnzPLbyzNmWLACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.57.16%2BPM.jpeg)
KAMISHNA WA TUME ZA HAKI AWATAKA WANAWAKE KUJITATHIMINI MAENDELEO WALIYOYAFANYA KATIKA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-LJs8iZx6DXE/XmU2NN3hG4I/AAAAAAALiA0/rhVzET75BxQHeQddpJDwmnzPLbyzNmWLACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.57.16%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jw87WbpMqMg/XmU2LKSHV8I/AAAAAAALiAw/gR8z-CSb4TczWf8RA503sDYucKNBfkPMwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.59.10%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pXmWSF7aFjM/XmU2NEJzkbI/AAAAAAALiA4/3OIr5-Hv8ukkCYopz5Otap8NSaAQDrvEQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.59.29%2BPM.jpeg)
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Umuhimu wa elimu maalumu katika jamii
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Insignia kusaidia jamii katika elimu
Kitendo cha kampuni au taasisi kuisaidia jamii kinageuka kuwa cha kisheria katika baadhi ya nchi na kwa nchi mbalimbali bado ni jambo la uamuzi. Watafiti wamegundua, kampuni tatu kati ya kila kampuni nne tayari wanaisaidia jamii au wana mpango wa kuisaidia jamii, miaka michache ijayo. Asilimia 58 ya makampuni yamethibitika kuwa na bajeti kila mwaka kwa ajili ya uendelezaji wa shughuli hizi.
Tafiti pia zimeonesha kuwa kwa kiasi kikubwa; Zaidi ya asilimia 80 ya kampuni zinachagua elimu kama...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM : Stella Manyanya– Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora nchini, leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU
Na Aron Msigwa – MAELEZO
SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...