SIKU YA WAJANE DUNIANI, ZAIDI YA WAJANE MILIONI 250 WANAISHI KATIKA DIMBWI LA UMASIKINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QDA_Hder4FI/XvHBvs1hMmI/AAAAAAALvCY/-DPixU5G2-ASyW6B1KVYIWC2V-R_7sUegCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault%25280%2529.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wajane katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Aprili nne, 2019.
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVKUPOTEZA wenza ni jambo linalovunja mioyo ya wanawake wengi duniani hasa kwa nchi zinazoendelea, wajane katika nchi hizo wamekuwa na muendelezo wa kutafuta mahitaji yao muhimu, haki zao pamoja na utu ambapo katika baadhi ya tamaduni nyingi za kiafrika huwachukulia wajane kwa namna ya tofauti ikiwemo kurithiwa na ndugu wa mume na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSIKU YA WAJANE DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA WIZARA YA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI ANGELA KAIRUKI MGENI RASMI SIKU YA WAJANE DUNIANI ITAKAYOFANYIKAJUNI 23 MWAKA HUU.
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote..
Kuna takwimu za ishu kama magonjwa, rushwa, ajali huwa zinapewa kipaumbele sana kwenye vichwa vya habari kila kona, lakini takwimu nyingine hata kama zipo ni adimu kukutana nazo… Leo ni December 18 2015, tunahesabu wiki mbili tu kuimaliza 2015, takwimu za wajane zimenifikia na naanza kukuchambulia sasahivi. Ripoti ya Loomba Foundation World Widows inaonesha mpaka sasa […]
The post Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote.. appeared first on...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SeliBxGnXlM/Xqq1XyZAnGI/AAAAAAALopM/byoIjNVhOjUAr0gC_ClFtjvIiW9VO7MMQCLcBGAsYHQ/s72-c/d9f1640e-fa3e-4477-a26b-6e2d6166a198%2B%25281%2529.jpg)
RC MAKONDA ATOA MSAADA WA MABATI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 476 KWAAJILI YA KUEZEKA NYUMBA 1,000 ZA WAJANE WALIOKUMBWA NA ADHA YA MAFURIKO DAR.
RC Makonda amesema hayo wakati wa Ziara ya Kukagua athari za Mvua na kubaini uwepo wa familia za Wajane ambao Nyumba zao zimechukuliwa na Mafuriko na sasa wanapitia changamoto ya...
5 years ago
MichuziSERIKALI YAWAFUTA MACHOZI WAJANE
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-28.jpg)
Mkurugenzi wa Chama...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Elimu ya ardhi yawaliza wajane
WAJANE katika Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro wameangua kilio mbele ya uongozi wa taasisi na asasi ya maendeleo ya elimu na maarifa ya Greenbelt Schools Trust Fund (GSTF) baada...
11 years ago
Habarileo23 Jul
Ahmadiyya yasaidia vyakula wajane 80
TAASISI ya Jumuiya ya Kiislamu ya Ahmadiyya juzi ilitoa msaada wa vyakula kwa wajane 80 wa Kata ya Viwandani Manispaa ya Dodoma.
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wajane wadhulumiwa kwa kuogopa kulogwa
WANAWAKE wajane wanaodhulumiwa mali baada ya kufiwa na waume zao wilayani Kyela, wamedaiwa kutofuata hatua za kisheria kwa kuogopa kurogwa na kudhalilisha ukoo.
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wajane wengi wafa kwa kukosa haki
BAADHI ya wanawake katika kata ya Magubike na Maguha, wilayani Kilosa, Morogoro, wamesema wanawake wengi wajane hufariki mapema kutokana na kukosa haki ya kumiliki mali ikiwemo ardhi wanapofiwa na waume...