Wajane wadhulumiwa kwa kuogopa kulogwa
WANAWAKE wajane wanaodhulumiwa mali baada ya kufiwa na waume zao wilayani Kyela, wamedaiwa kutofuata hatua za kisheria kwa kuogopa kurogwa na kudhalilisha ukoo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QDA_Hder4FI/XvHBvs1hMmI/AAAAAAALvCY/-DPixU5G2-ASyW6B1KVYIWC2V-R_7sUegCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault%25280%2529.jpg)
SIKU YA WAJANE DUNIANI, ZAIDI YA WAJANE MILIONI 250 WANAISHI KATIKA DIMBWI LA UMASIKINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QDA_Hder4FI/XvHBvs1hMmI/AAAAAAALvCY/-DPixU5G2-ASyW6B1KVYIWC2V-R_7sUegCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault%25280%2529.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVKUPOTEZA wenza ni jambo linalovunja mioyo ya wanawake wengi duniani hasa kwa nchi zinazoendelea, wajane katika nchi hizo wamekuwa na muendelezo wa kutafuta mahitaji yao muhimu, haki zao pamoja na utu ambapo katika baadhi ya tamaduni nyingi za kiafrika huwachukulia wajane kwa namna ya tofauti ikiwemo kurithiwa na ndugu wa mume na...
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Awasha moto kituo cha petroli kwa kuogopa buibui
10 years ago
Habarileo18 Jan
Viongozi wanaodai fedha kwa wajane waonywa
MWENYEKITI wa halmashauri ya mji wa Masasi ambaye pia ni Diwani wa kata ya Nyasa, Andrew Mtumusha ametoa onyo kwa watendaji wa kata, mtaa wenye tabia ya kudai malipo kutoka kwa vikundi vya wajasiriamali wajane pale vikundi hivyo vinapohitaji huduma ikiwemo ya kupitishiwa mihtasari yao ya benki.
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wajane wengi wafa kwa kukosa haki
BAADHI ya wanawake katika kata ya Magubike na Maguha, wilayani Kilosa, Morogoro, wamesema wanawake wengi wajane hufariki mapema kutokana na kukosa haki ya kumiliki mali ikiwemo ardhi wanapofiwa na waume...
11 years ago
Habarileo22 Dec
Wajane wasema hufa mapema kwa kukosa haki
BAADHI ya wajane katika Kata ya Magubike na Maguha wilayani Kilosa mkoani hapa, wamesema wengi wao wamekuwa wakifa mapema kwa kukosa haki ya kumiliki mali ikiwa ni pamoja na ardhi pindi wanapofiwa na waume zao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJPiNuILdphwjCX7SVYBvOAqfUZPhN0WoxEPHSv78tkFoGQFK2fzDPuBNRCqiYmjCbnWolJm7OpbGv-PPNcVESxf/1.jpg?width=650)
LINAH ATOA MISAADA KWA WAJANE, VIKONGWE YOMBO JIJINI DAR
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote..
Kuna takwimu za ishu kama magonjwa, rushwa, ajali huwa zinapewa kipaumbele sana kwenye vichwa vya habari kila kona, lakini takwimu nyingine hata kama zipo ni adimu kukutana nazo… Leo ni December 18 2015, tunahesabu wiki mbili tu kuimaliza 2015, takwimu za wajane zimenifikia na naanza kukuchambulia sasahivi. Ripoti ya Loomba Foundation World Widows inaonesha mpaka sasa […]
The post Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote.. appeared first on...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bZVCQPV1v1k/XuO7eSqgBLI/AAAAAAALtoY/tWKX7jqnyGod___qFvNIC3ETFE2gUhAbACLcBGAsYHQ/s72-c/9039016d-a572-4e22-bec2-8f0a3e6f8315.jpg)
Waalimu wastaafu Mkoani Rukwa wadhulumiwa zaidi ya Shilingi milioni 96 fedha za SACCOS
![](https://1.bp.blogspot.com/-bZVCQPV1v1k/XuO7eSqgBLI/AAAAAAALtoY/tWKX7jqnyGod___qFvNIC3ETFE2gUhAbACLcBGAsYHQ/s640/9039016d-a572-4e22-bec2-8f0a3e6f8315.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4b897023-89b8-4a47-b2be-aeb7ed77d998.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Waalimu Nkasi Teachers SACCOS Gideon Ngorogoro kiasi cha Shilingi 39,756,250 kwaajili ya kuzirudisha kwa waalimu wastaafu wa chama hicho.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7a4977f7-96c0-414d-a77c-6c63cf93936b.jpg)
11 years ago
Habarileo22 May
Namtumbo wadaiwa kuogopa ng’ombe
MBUNGE wa Namtumbo, Vita Kawawa (CCM), ameliambia Bunge jana kuwa wananchi wa wilaya hiyo wanaogopa ng’ombe, kwa sababu hawakuzoea kuwaona na wamezoea kilimo. Kawawa alisema Wilaya ya Namtumbo ni wakulima na kuna ng’ombe 300,000 ambao wamefukuzwa kutoka Wilaya ya Ulanga na wamekimbilia katika mabonde ya vyanzo vya maji.