Namtumbo wadaiwa kuogopa ng’ombe
MBUNGE wa Namtumbo, Vita Kawawa (CCM), ameliambia Bunge jana kuwa wananchi wa wilaya hiyo wanaogopa ng’ombe, kwa sababu hawakuzoea kuwaona na wamezoea kilimo. Kawawa alisema Wilaya ya Namtumbo ni wakulima na kuna ng’ombe 300,000 ambao wamefukuzwa kutoka Wilaya ya Ulanga na wamekimbilia katika mabonde ya vyanzo vya maji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mradi wa kopa ng'ombe lipa ng'ombe TZ
10 years ago
Bongo521 Oct
YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMliUX60oX*Qhz8-MNGDwXlxYLPZ6mLZkg*oxFmooT8w0eXlzQQGqBEkX5nyYrVZRQAQR4wqvXVBANsx*79IlyK9/hemedi.jpg?width=650)
DAVINA AJIFUA KUOGOPA KUACHIKA
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wajane wadhulumiwa kwa kuogopa kulogwa
WANAWAKE wajane wanaodhulumiwa mali baada ya kufiwa na waume zao wilayani Kyela, wamedaiwa kutofuata hatua za kisheria kwa kuogopa kurogwa na kudhalilisha ukoo.
9 years ago
Bongo505 Oct
AY awataka wasanii kuacha kuogopa kuuliza mambo wasiyoyajua
10 years ago
Vijimambo20 Nov
Klabu yahofia kumwachia Traore kuogopa kupata maambukizi ya Ebola
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/19/141119124829_traore_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Madaktari wa klabu hiyo wameelezea wasiwasi kuwa huenda akaambukizwa Ebola ikiwa ataenda kuichezea klabu yake nchini Guinea.
Timu ya taifa ya Guinea ,Syli Nationale itacheza katika mechi ambayo lazima washinde dhidi ya Uganda nchini Morocco ambako mechi hiyo ilihamishiwa kwa...
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Awasha moto kituo cha petroli kwa kuogopa buibui
10 years ago
Vijimambo12 Apr
LULU MICHAEL Agoma kumtaja BABA wa Mimba yake ...Kisa Kuogopa KUROGWA