DAVINA AJIFUA KUOGOPA KUACHIKA
![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMliUX60oX*Qhz8-MNGDwXlxYLPZ6mLZkg*oxFmooT8w0eXlzQQGqBEkX5nyYrVZRQAQR4wqvXVBANsx*79IlyK9/hemedi.jpg?width=650)
STORI: IMELDA MTEMA Halima Yahya ‘Davina’, staa wa sinema Bongo, amefunguka kuwa anajitahidi kufanya mazoezi ili mwili wake usizeeke akaachika kwa mumewe. Halima Yahya ‘Davina’. Akipiga stori na paparazi wetu, Davina alisema mikakati yake ni kuhakikisha ndoa yake inashamiri miaka yote. “Sikubali kuachika, siri ya kulinda ndoa yangu ni mazoezi tu, acha nijifue mwanzo mwisho,â€...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1ZQNaYXojJamVvoz2rBWc1LFsHQE1AEkpy2L1lzV1Xg2g1E9AC3n5W0TciiRpi48nzFHDLGM3mMcbDnyktAL-8E/334W.jpg?width=650)
VAI ACHEKELEA KUACHIKA!
11 years ago
Habarileo22 May
Namtumbo wadaiwa kuogopa ng’ombe
MBUNGE wa Namtumbo, Vita Kawawa (CCM), ameliambia Bunge jana kuwa wananchi wa wilaya hiyo wanaogopa ng’ombe, kwa sababu hawakuzoea kuwaona na wamezoea kilimo. Kawawa alisema Wilaya ya Namtumbo ni wakulima na kuna ng’ombe 300,000 ambao wamefukuzwa kutoka Wilaya ya Ulanga na wamekimbilia katika mabonde ya vyanzo vya maji.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUS1fS7yK03LizTo0D6OQEK3qF*UNUUVbX8R2GAi1C8SHhmjmkjsAOu*R4eqd9BvG-YkLqeavrV6Ic3Nhq2nmOpo/hafsa.jpg?width=650)
HAFSA KAZINJA AJUTA KUACHIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YhYw70UXYJg7lEgLyBej5wNkRAsv6CAKsSpbe0hoUwVQ3g8iUtdd24HBPFB9DoKUYDbO85oruyGR6*83LboQxCb/nora.jpg?width=650)
NORA AFUNGUKA KUACHIKA KWENYE NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbKh-JY2ugPcR21raijCHt0ZAoTU3KrEbpn34e4HwsILlsV8-w3OnsDp7hBUb88Wu0hgm1RvV-3Pu1WkmIKCge7y/mahaba.jpg?width=650)
USIKUBALI KUACHIKA UKIWA KWENYE UCHUMBA!
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wajane wadhulumiwa kwa kuogopa kulogwa
WANAWAKE wajane wanaodhulumiwa mali baada ya kufiwa na waume zao wilayani Kyela, wamedaiwa kutofuata hatua za kisheria kwa kuogopa kurogwa na kudhalilisha ukoo.
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Baada ya kuachika mara 3 Dida ndoa ya 4!
Na Imelda Mtema
Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar es Salaam, Khadija Shaibu ‘Dida’ anatarajiwa kufunga pingu za maisha siku chache zijazo na mwanaume ambaye mwenyewe hakupenda kumtaja jina, hii ikiwa ni mara yake ya nne kufunga ndoa.
Akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, Dida anayetangaza Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, alisema kwa mwanamke kuolewa ni bahati, hivyo anajihesabu kuwa miongoni mwa wanawake waliojaliwa kuwa na kismati.
“Unajua...
9 years ago
Habarileo07 Dec
47 wadaiwa kuachika kwa kupiga kura Zanzibar
CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) - Zanzibar, kimeelezea kusikitishwa na tabia ya wanaume kuwazuia wanawake kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, huku wengine wakilazimika kuchukua hatua ya kuwapa talaka wake zao waliong’ang’ania kufanya hivyo.