Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Martin Kadinda Akanusha Habari ya Wema Kupeleka Diamond Polisi
Meneja wa mwigizaji Wema Sepetu, Martnin Kadinda amekaunsha habari ya Wema kumpeleka polisi Diamond kwa kumtapeli shilingi milioni 10, iliyochapishwa leo kwenye Gazeti la Mtanzania.
Martin amesema kuwa Wema na Diamond hawadaiani chochote na kwamba habari hizo ni za uongo. “Unajua tatizo ni kwamba hatujajua source ni nani,” amesema Martin. “Kwa sababu taarifa
ikishaingia kwenye social network everybody posts, kwahiyo sisi tunamtafuta nani ameianzisha hiyo stori. “We don’t have any issue with...
10 years ago
GPLRAY, DAVINA HAPATOSHI!
9 years ago
Bongo Movies03 Sep
Mashabiki Nikosoeni-Davina
MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Halima Yahya ‘Davina’, amejitokeza na kuwataka mashabiki wake wamkosoe kila wanapoona anacheza tofauti na wanavyotaka katika filamu anazoigiza.
“Mkinikosoa ndiyo nitajifunza kufanya vema zaidi hadi nitafikia kiwango cha kimataifa lakini mkiniacha hamtanisaidia, napenda kujifunza na siwezi kujifunza bila kukosolewa,’’ alisema Davina.
Davina aliwataka wasanii wenzake wakubali kukosolewa kama yeye kwa kuwa hakuna aliyemkamilifu na lengo kubwa ni kujijenga...
10 years ago
GPLDAVINA: CHONDECHONDE WAGOMBEA!
10 years ago
GPLMAI AMLIZA DAVINA
10 years ago
GPLDAVINA AMWANGUKIA MUMEWE
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Davina aanika ‘mazagazaga’…
Staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’.
Imelda mtema
Staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ hivi karibuni alianika ‘mazagazaga’ yake aliyoyapamba kwenye kiuno chake alipokuwa kwenye kibao kata cha ndugu yake kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Future Resort, uliopo Mbezi Beach jijini Dar.
Davina ambaye alionekana mwenye furaha siku hiyo alivalia dera lake ambalo kwa nyuma alilipasua na kuacha sehemu kubwa ya mgongo wake wazi akiwa amejichora ‘tatuu’ huku cheni ya dhahabu ikiwa...
11 years ago
GPLDAVINA AMSHAURI WASTARA