DAVINA AMSHAURI WASTARA
![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt62Fb-FxLCDwOjV3ToBr6oaQDGU-k-iEtSHtp91fpwSMwhZvLo3RCxHiJImZPzlsrql0e1pTY8eiTmFVR68DDDWj/wastara3.jpg?width=600)
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. Stori: Gladness Mallya BAADA ya staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma kutoa shukurani kwa wasanii wenzake zilizotafsiriwa kama anajitabiria kifo chake, msanii mwenzake, Halima Yahaya ‘Davina’ ameibuka na kumtaka asikate tamaa. Halima Yahaya ‘Davina’. Alisema alishtuka baada ya kuona maelezo gazetini (Ijumaa Wikienda) ambayo Wastara alimpongeza kama rafiki...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3MjyT9PDDtHefPtXFquLL9UCiF4RmldvH*evpUvdRYG4gmBBoGFYG8b8UPsrW84xnRWi2lwAEd*ParS5Q21cgM0/mboto.jpg)
RACHEL AMUUMIZA WASTARA, AMUACHIA DAVINA HAUSIGELI
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Gidamis Shahanga amshauri Waziri Nape
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Makoye amshauri Maximo kuhusu Coutinho
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Odinga ampongeza Magufuli, amshauri Lowassa
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
Sandra Amshauri Shilole Asidanganyike na Pete ya Uchumba
Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa Bongo, Salama Salmini ‘Sandra’ amemshauri msanii mwenzake, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kupigania kuolewa na mwandani wake, Nuhu Mziwanda ambaye alimvisha pete ya uchumba siku chache zilizopita kwa kuwa kitendo hicho kwa sasa kimeshazoeleka.
Akipiga stori na paparazi wa GPL, Sandra alisema anafagilia sana mapenzi ya wawili hao kwani anaona wanaendana pamoja na utofauti wa umri uliopo anamtaka Shilole ahakikishe anaolewa haraka iwezekanavyo kwani hata mwanadada...
9 years ago
Bongo508 Oct
Barnaba amshauri Lulu haya kuhusu uigizaji wa filamu
10 years ago
Mtanzania19 Jan
Guardiola ampigia simu Messi kwa Siri, amshauri asiondoke Barcelona
PEP Guardola amemshauri mshambuliaji Lionel Messi kubakia Barcelona akimtaka nyota huyo wa Argentina kuwa mtulivu na kuonyesha imani kwa mipango ya kocha wake wa sasa, Luis Enrique.
Wiki iliyopita mchezaji huyo aliyewahi kunyakua tuzo ya mchezaji bora wa mwaka mara nne, aliweka wazi kuwa huenda akaondoka Camp Nou baada ya kukiri kuwa hajui atakuwa wapi msimu ujao.
Mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wamekuwa wakihusishwa na mpango wa kumwaga fedha ili kumnasa mchezaji huyo,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jmLRdCADckE/VnLKVLZ46XI/AAAAAAAINJo/i0oiMVrqr3M/s72-c/ala4.jpg)
JAJI MARK BOMANI AMSHAURI MAALIM SEIF AKUBALI UCHAGUZI URUDIWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-jmLRdCADckE/VnLKVLZ46XI/AAAAAAAINJo/i0oiMVrqr3M/s640/ala4.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
JAJI Mkuu na Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Mark Boman amesema kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja Zanzibar, Maalim Seif Hamad akubali uchaguzi urudiwe Zanzibar kwani kama alishinda atashinda tena kutokana na waliompigia katika uchaguzi ulifutwa watampIgia kura tena.
Boman ameyasema hayo leo jijini Dar eS Salaam , wakati akizungumza na...