Gidamis Shahanga amshauri Waziri Nape
Bingwa mara mbili wa Jumuiya ya Madola, Gidamis Shahanga amemshauri Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye kuwa tayari kushaurika na kutumia mawazo ya wataalamu wachache wa michezo waliopo nchini ili kuirudisha sekta hiyo katika rekodi iliyowahi kuiweka zamani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Ikangaa, Shahanga waishangaa RT
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Nape ahadi neema tasnia ya filamu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akifanya mahojiano na mwandishi wa Habari wa Ayo TV alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Filamu ya HOME COMING katika ukumbi wa Century Cenema jana jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washiriki katika filamu ya HOME COMING Bw. Issa (Alfa jina alilotumia katika filamu hiyo) akihojiwa na mwandishi wa Habari wa Azam TV Bw. Taji Liundi wakati wa hafla ya uzinduzi wa filamu hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Mke wa Mhe....
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bg_qME-mcso/VoL4XvtzMVI/AAAAAAAAsyg/rMML3OG6l68/s72-c/1.jpg)
WAZIRI NAPE AZINDUA FILAMU YA HOME COMING DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-bg_qME-mcso/VoL4XvtzMVI/AAAAAAAAsyg/rMML3OG6l68/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LENYpAILwPs/VoL4ZDVusqI/AAAAAAAAsy4/Ec_vNLZnupo/s640/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xmkSngwQL8/VoL4aH98oBI/AAAAAAAAszI/XMXLc0QYXi0/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y_HRh4Um1i8/VoL4W8dkYCI/AAAAAAAAsyY/MrErhtbD_DE/s640/11.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fuNPVzDZUlE/Vozrnk7aVCI/AAAAAAAIQyU/3Uto_Q0gido/s72-c/1.jpg)
BALOZI WA NORWAY NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI NAPE OFISI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fuNPVzDZUlE/Vozrnk7aVCI/AAAAAAAIQyU/3Uto_Q0gido/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g1KWmXOkgNU/VozrndJqmyI/AAAAAAAIQyQ/c16gw0yyh6o/s640/3.jpg)
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Zitazame Picha za Waziri Nape Alivyozindua Filamu ya Home Coming
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa na mtangazaji mashuhuri wa Azam TV Taji Liundi muda mfupi kabla ya kuzindua filamu mpya ya Home Coming kwenye ukumbi wa Century Cinema ,Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Sanaa na Utamaduni wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa filamu mpya ya Home Coming.
Mmoja wa washiriki wa Filamu hiyo ya Home Coming ,Susan Lewis maarufu kama Natasha
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa muda...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bq5JhOrR73c/VnehA73GRjI/AAAAAAADD8s/o06P1VVIeio/s72-c/napezzzz.jpg)
Waziri Nape kumwakilisha Makamu wa Rais Samia Suluhu Tamasha la Krismasi
![](http://3.bp.blogspot.com/-bq5JhOrR73c/VnehA73GRjI/AAAAAAADD8s/o06P1VVIeio/s320/napezzzz.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, Makamu huyo wa rais alitarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo lakini kutokana na majukumu mengine ya kikazi, hivyo tunaendelea na...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 …
December 30 ilikuwa ni siku ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kukutana na uongozi wa wizara ya habari, vijana, utamaduni, burudani na michezo Nape Nnauye. Mshambuliaji huyo ambaye anahusishwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji […]
The post Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 … appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Waziri wa Habari, Mhe. Nape Nnauye aripoti ofisini, ataja vipaumbele vyake
Naibu waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia James Wambura (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo katika ofisi za wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi Lilian Beleko (kulia) akimkaribisha kwa furaha Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye wizarani hapo leo hii jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa...