Zitazame Picha za Waziri Nape Alivyozindua Filamu ya Home Coming
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa na mtangazaji mashuhuri wa Azam TV Taji Liundi muda mfupi kabla ya kuzindua filamu mpya ya Home Coming kwenye ukumbi wa Century Cinema ,Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Sanaa na Utamaduni wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa filamu mpya ya Home Coming.
Mmoja wa washiriki wa Filamu hiyo ya Home Coming ,Susan Lewis maarufu kama Natasha
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa muda...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bg_qME-mcso/VoL4XvtzMVI/AAAAAAAAsyg/rMML3OG6l68/s72-c/1.jpg)
WAZIRI NAPE AZINDUA FILAMU YA HOME COMING DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-bg_qME-mcso/VoL4XvtzMVI/AAAAAAAAsyg/rMML3OG6l68/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LENYpAILwPs/VoL4ZDVusqI/AAAAAAAAsy4/Ec_vNLZnupo/s640/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xmkSngwQL8/VoL4aH98oBI/AAAAAAAAszI/XMXLc0QYXi0/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y_HRh4Um1i8/VoL4W8dkYCI/AAAAAAAAsyY/MrErhtbD_DE/s640/11.jpg)
9 years ago
Habarileo31 Dec
Nape aifagilia Home Coming
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ameipongeza kampuni ya Alkamest Media kwa kuandaa filamu ya Homecoming kwa kiwango cha kimataifa.
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Ninazo picha 20 za uzinduzi wa filamu mpya ‘Home Coming’.. mastaa wahudhuria
Mastaa mbalimbali leo Dec 29 walikutana cinema Mlimani City kwenye uzinduzi wa filamu mpya iliyopewa jina la Home Coming ambayo ndani ya movie hiyo kuna mastaa walioshiriki akiwemo Mzee Chilo na Hasheem Kambi, Bramsen, Olotu, Gordian, Munisi na wengineo. Hapa nimekusogezea baadhi picha uone jinsi tukio lilivyofanyika Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]
The post Ninazo picha 20 za uzinduzi wa filamu mpya ‘Home Coming’.. mastaa wahudhuria appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Nape ahadi neema tasnia ya filamu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akifanya mahojiano na mwandishi wa Habari wa Ayo TV alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Filamu ya HOME COMING katika ukumbi wa Century Cenema jana jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washiriki katika filamu ya HOME COMING Bw. Issa (Alfa jina alilotumia katika filamu hiyo) akihojiwa na mwandishi wa Habari wa Azam TV Bw. Taji Liundi wakati wa hafla ya uzinduzi wa filamu hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Mke wa Mhe....
10 years ago
Bongo520 Jul
Picha: Zitazame jezi mpya za Chelsea
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74611000/jpg/_74611482_safangetty.jpg)
10 years ago
TheCitizen05 Feb
Home coming for German resident 23 years later
11 years ago
Michuzi05 Jun
11 years ago
Michuzi25 Jul