Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitazame Picha za Waziri Nape Alivyozindua Filamu ya Home Coming

2Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa na  mtangazaji mashuhuri wa Azam TV Taji Liundi muda mfupi kabla ya kuzindua filamu mpya ya Home Coming kwenye ukumbi wa Century Cinema ,Mlimani  City jijini Dar es Salaam.5Wadau wa Sanaa na Utamaduni wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa filamu mpya ya Home Coming.6Mmoja wa washiriki wa Filamu hiyo ya Home Coming ,Susan Lewis maarufu kama Natasha

113Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa muda...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAZIRI NAPE AZINDUA FILAMU YA HOME COMING DAR

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa na mtangazaji mashuhuri wa Azam TV Taji Liundi muda mfupi kabla ya kuzindua filamu mpya ya Home Coming kwenye ukumbi wa Century Cinema ,Mlimani City jijini Dar es Salaam.
 Wadau wa Sanaa na Utamaduni wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa filamu mpya ya Home Coming.
 Mmoja wa washiriki wa Filamu hiyo ya Home Coming ,Susan Lewis maarufu kama Natasha
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye na Ayo TV...

 

9 years ago

Habarileo

Nape aifagilia Home Coming

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ameipongeza kampuni ya Alkamest Media kwa kuandaa filamu ya Homecoming kwa kiwango cha kimataifa.

 

9 years ago

MillardAyo

Ninazo picha 20 za uzinduzi wa filamu mpya ‘Home Coming’.. mastaa wahudhuria

Mastaa mbalimbali leo Dec 29 walikutana cinema Mlimani City kwenye uzinduzi wa filamu mpya iliyopewa jina la Home Coming ambayo ndani ya movie hiyo kuna mastaa walioshiriki akiwemo Mzee Chilo na Hasheem Kambi, Bramsen, Olotu, Gordian, Munisi na wengineo. Hapa nimekusogezea baadhi picha uone jinsi tukio lilivyofanyika Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]

The post Ninazo picha 20 za uzinduzi wa filamu mpya ‘Home Coming’.. mastaa wahudhuria appeared first on...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Nape ahadi neema tasnia ya filamu

FL1a

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akifanya mahojiano na mwandishi wa Habari wa  Ayo TV alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Filamu ya HOME COMING katika ukumbi wa Century Cenema jana jijini Dar es Salaam.

FL1c

Mmoja wa washiriki katika filamu ya HOME COMING Bw. Issa (Alfa jina alilotumia katika filamu hiyo) akihojiwa na mwandishi wa Habari wa Azam TV Bw. Taji Liundi wakati wa hafla ya uzinduzi wa filamu hiyo jana jijini Dar es Salaam.

FL2a

Mke wa Mhe....

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Zitazame jezi mpya za Chelsea

Jezi mpya za klabu ya Chelsea ambazo zitatumika katika msimu ujao zikiwa na nembo ya mdhamini mpya zimewekwa hadharani. Jezi mpya za Chelsea watazotumia ugenini ni hizi Udhamini huu unaifanya Chelsea ivune pound milioni 40 ambapo watachota pound milioni 200 katika kipindi chote cha udhamini. Udhamini huo wa Chelsea ni wa pili kuwa na thamani […]

 

11 years ago

BBC

Why South African whites are coming home

Why white South Africans are returning

 

10 years ago

TheCitizen

Home coming for German resident 23 years later

At the entrance of the Arusha Technical College (ATC) is a huge power generator which tells all about the German support for the 37 year old college.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani