Waziri Nape ahadi neema tasnia ya filamu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akifanya mahojiano na mwandishi wa Habari wa Ayo TV alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Filamu ya HOME COMING katika ukumbi wa Century Cenema jana jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washiriki katika filamu ya HOME COMING Bw. Issa (Alfa jina alilotumia katika filamu hiyo) akihojiwa na mwandishi wa Habari wa Azam TV Bw. Taji Liundi wakati wa hafla ya uzinduzi wa filamu hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Mke wa Mhe....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWADAU WA FILAMU WAKUTANA NA KUJADILI MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU NCHINI.
10 years ago
VijimamboKAMATI YA MAANDALIZI YA TUZO ZA FILAMU TANZANIA YASAHURIWA KUTANGAZA TASNIA YA FILAMU KIMATAIFA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VlNLqSwOmBc/Uu-ZmasafyI/AAAAAAAFKsQ/w6RU9uz5F1A/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania lawasilisha maoni ya utafiti wa tasnia ya filamu nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlNLqSwOmBc/Uu-ZmasafyI/AAAAAAAFKsQ/w6RU9uz5F1A/s1600/unnamed+(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jgjF-mr0UUU/Uu-ZprOo1wI/AAAAAAAFKsk/5AGV2k4Fr-o/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
MichuziKamati ya Maandalizi ya Tuzo za Filamu Tanzania yashauriwa kutangaza Tasnia ya Filamu kimataifa
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bg_qME-mcso/VoL4XvtzMVI/AAAAAAAAsyg/rMML3OG6l68/s72-c/1.jpg)
WAZIRI NAPE AZINDUA FILAMU YA HOME COMING DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-bg_qME-mcso/VoL4XvtzMVI/AAAAAAAAsyg/rMML3OG6l68/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LENYpAILwPs/VoL4ZDVusqI/AAAAAAAAsy4/Ec_vNLZnupo/s640/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xmkSngwQL8/VoL4aH98oBI/AAAAAAAAszI/XMXLc0QYXi0/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y_HRh4Um1i8/VoL4W8dkYCI/AAAAAAAAsyY/MrErhtbD_DE/s640/11.jpg)
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Zitazame Picha za Waziri Nape Alivyozindua Filamu ya Home Coming
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa na mtangazaji mashuhuri wa Azam TV Taji Liundi muda mfupi kabla ya kuzindua filamu mpya ya Home Coming kwenye ukumbi wa Century Cinema ,Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Sanaa na Utamaduni wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa filamu mpya ya Home Coming.
Mmoja wa washiriki wa Filamu hiyo ya Home Coming ,Susan Lewis maarufu kama Natasha
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa muda...
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
JB: Tunafurukuta Lakini Tasnia ya Filamu Inakufa
Mwigizaji na mwongozaji mkongwe wa filamu za Kibongo Jacob Stephen ‘JB’ ametoa dukuduku lake la moyoni na kusema kwamba tasnia ya filamu ipo katika hali mbaya.
JB ambaye amefanya kazi kubwa katika kuiinua tasnia hiyo alisema, filamu inaangukia katika kifo kama ulivyoanguka muziki wa Bongo Fleva kutokana na soko kushikiliwa na maharamia.
Staa huyo alisema hali hiyo inawafanya wasambazaji kuanza kuikimbia tasnia hiyo na wengine kushusha bei ya filamu.
“Hali ya soko kwa sasa ni mbaya sana...