Nape aifagilia Home Coming
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ameipongeza kampuni ya Alkamest Media kwa kuandaa filamu ya Homecoming kwa kiwango cha kimataifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bg_qME-mcso/VoL4XvtzMVI/AAAAAAAAsyg/rMML3OG6l68/s72-c/1.jpg)
WAZIRI NAPE AZINDUA FILAMU YA HOME COMING DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-bg_qME-mcso/VoL4XvtzMVI/AAAAAAAAsyg/rMML3OG6l68/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LENYpAILwPs/VoL4ZDVusqI/AAAAAAAAsy4/Ec_vNLZnupo/s640/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xmkSngwQL8/VoL4aH98oBI/AAAAAAAAszI/XMXLc0QYXi0/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y_HRh4Um1i8/VoL4W8dkYCI/AAAAAAAAsyY/MrErhtbD_DE/s640/11.jpg)
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Zitazame Picha za Waziri Nape Alivyozindua Filamu ya Home Coming
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa na mtangazaji mashuhuri wa Azam TV Taji Liundi muda mfupi kabla ya kuzindua filamu mpya ya Home Coming kwenye ukumbi wa Century Cinema ,Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Sanaa na Utamaduni wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa filamu mpya ya Home Coming.
Mmoja wa washiriki wa Filamu hiyo ya Home Coming ,Susan Lewis maarufu kama Natasha
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa muda...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74611000/jpg/_74611482_safangetty.jpg)
10 years ago
TheCitizen05 Feb
Home coming for German resident 23 years later
11 years ago
Michuzi05 Jun
10 years ago
Vijimambo![](https://lh4.googleusercontent.com/-7PY1dY_eegI/VD65eeV8BKI/AAAAAAAARV4/thYHwt0bOLU/s72-c/blogger-image-1794716631.jpg)
CHRIS BROWN AND TREY SONGZ- LIVE-OCT 17-HOWARD HOME COMING
![](https://lh4.googleusercontent.com/-7PY1dY_eegI/VD65eeV8BKI/AAAAAAAARV4/thYHwt0bOLU/s640/blogger-image-1794716631.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FlrZdkCbMvY/VZMLHklLQxI/AAAAAAAABTo/AOYt6gnlbuA/s72-c/Mapokezi%2BSugu.jpg)
MBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya
Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Mangula aifagilia Ukawa