Ninazo picha 20 za uzinduzi wa filamu mpya ‘Home Coming’.. mastaa wahudhuria
Mastaa mbalimbali leo Dec 29 walikutana cinema Mlimani City kwenye uzinduzi wa filamu mpya iliyopewa jina la Home Coming ambayo ndani ya movie hiyo kuna mastaa walioshiriki akiwemo Mzee Chilo na Hasheem Kambi, Bramsen, Olotu, Gordian, Munisi na wengineo. Hapa nimekusogezea baadhi picha uone jinsi tukio lilivyofanyika Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]
The post Ninazo picha 20 za uzinduzi wa filamu mpya ‘Home Coming’.. mastaa wahudhuria appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo02 Jan
News na Trailer ya movie mpya ya Watanzania ‘Home Coming’ baada ya kuonyeshwa CINEMA Dsm
Ni movie nyingine iliyoigizwa na Watanzania lakini ikapitia kwenye mikono ya Watengenezaji wenye sifa zinazotakiwa kwenye utayarishaji na utengenezaji wa movie kwenye dunia ya sasa…. Trailer yake na ilivyoonyeshwa kwa mara ya kwanza kwenye CINEMA Dar es salaam, bonyeza play kwenye hii video hapa chini kutazama. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]
The post News na Trailer ya movie mpya ya Watanzania ‘Home Coming’ baada ya kuonyeshwa CINEMA Dsm appeared first on...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii
Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alimalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Sasa leo Dec 29, 2015 aliyekuwa waziri wa Utalii na Maliasili, Lazaro Nyalandu amekabidhi rasmi ofisi […]
The post Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mtanzania31 Dec
‘Home Coming’ iwe fundisho kwa wasanii Bongo
NA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM
KATIKA tasnia ya filamu hapa nchini tunaanza kupiga hatua kwa kiasi kikubwa sana kutokana na wasanii wengi kujituma kwa lengo la kutangaza kazi zao ndani na nje ya nchi, huku ikiwa njia mojawapo ya kujipatia kipato.
Siku zote tumekuwa tukiona filamu zetu za hapa ndani zikitazamwa kwa muda mfupi na zinaanza kusahaulika kutokana na uwezo mdogo wa wasanii kufanya filamu hiyo na kutokuwa na ubunifu wa kutosha.
Kwa sasa kumekua na tabia ya kuangalia filamu za nje...
9 years ago
Bongo530 Dec
Picha: Uzinduzi wa filamu ya ‘Homecoming’ waitikisa Dar
![_K0A2157](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/K0A2157-300x194.jpg)
Mastaa na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye Jumanne hii walipamba uzinduzi wa filamu ya ‘Homecoming’ uliofanyika katika ukumbi wa Century Cinema jijini Dar es Salaam.
Waziri Nape akihojiwa
Akizungumza na Bongo5 jana baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Nape aliwapongeza waandaji wa filamu hiyo huku akiwataka kuendelea na utaratibu huo ili kukuza sanaa pamoja na kukuza vipato vya wasanii.
“Hii ni hatua nzuri...
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Zitazame Picha za Waziri Nape Alivyozindua Filamu ya Home Coming
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa na mtangazaji mashuhuri wa Azam TV Taji Liundi muda mfupi kabla ya kuzindua filamu mpya ya Home Coming kwenye ukumbi wa Century Cinema ,Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Sanaa na Utamaduni wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa filamu mpya ya Home Coming.
Mmoja wa washiriki wa Filamu hiyo ya Home Coming ,Susan Lewis maarufu kama Natasha
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa muda...
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
PICHA: Uzinduzi wa filamu ya Mbwa Mwitu ulivyokuwa hapo jana kwenye ukumbi wa Mlimani City.
Hapo jana mwanadada Kajala alizindua rasmi filamu yake mpya ya mbwa Mwitu katika ukumbi Maarufu wa mlimani city ulipo jijini Dar es Salaam. Tukio hili liliuzuliwa na mastaa mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki na waigizaji. Tazama baadhi ya picha toka kwenye tukio hili. Hapo jana mwanadada Kajala alizindua rasmi filamu yake mpya ya mbwa Mwitu katika ukumbi Maarufu wa mlimani city ulipo jijini Dar es Salaam. Tukio hili liliuzuliwa na mastaa mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki na waigizaji....
9 years ago
Bongo519 Dec
Picha: Uzinduzi wa video mpya ya Ommy Dimpoz ‘Achia Body’
![Aika akizumza na Ommy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Aika-akizumza-na-Ommy-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz amezindua video ya wimbo mpya ‘Achia Body’ Jumamosi hii kwenye hoteli ya Akemi jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mastaa kibao na wadau wengine.
Ommy Dimpoz
Akizungumza na Bongo5, Ommy alisema ukimya wake ulitokana na kuwa busy na show nyingi za nje.
“Huu mwaka ulikuwa na mambo mengi sana lakini nashukuru Mungu hayo mambo yamesababisha nijiandae vizuri zaidi,” alisema. “Nilikuwa na show nyingi za nje. Lakini hii kazi ni nzuri na watu wataifurahia sana. Kwahiyo kuifanyia...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar…..
Headlines za bomoabomoa zimeendelea tena leo Dec 18 ambapo zoezi hilo limeendela kwenye wilaya ya Kinondoni na kubomoa nyumba za wakazi waliokuwa wakiishi maeneo hatarishi hasa bonde la Msimbazi lililopo Kinondoni Hizi ni picha 20 za tukio zima la ubomoaji linaloendelea muda huu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar….. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Bongo526 Jul
Bongo Movies: Majuto, Hemedy, Johari watoa filamu mpya (Picha)