Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ikangaa, Shahanga waishangaa RT

Bingwa wa Afrika wa 1982, Juma Ikangaa na mshindi wa medali fedha ya Jumuiya ya madola, Gidamis Shahanga wamelishangaa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) kushindwa kupeleka timu kwenye Mashindano ya Afrika yanayoendelea nchini Morocco.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia

Mwaka 1983 mwanariadha wa Tanzania, Gidamis Shahanga alikamata nafasi ya tano katika mashindano ya riadha ya dunia yaliyofanyika huko Helsinki, Finland. Shahanga alishika nafasi hiyo baada ya kukimbia mbio za mita 10,000 kwa kutumia dakika 28:01:93.

 

9 years ago

Mwananchi

Gidamis Shahanga amshauri Waziri Nape

Bingwa mara mbili wa Jumuiya ya Madola, Gidamis Shahanga amemshauri Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye kuwa tayari kushaurika na kutumia mawazo ya wataalamu wachache wa michezo waliopo nchini ili kuirudisha sekta hiyo katika rekodi iliyowahi kuiweka zamani.

 

11 years ago

Mwananchi

RIADHA: Ikangaa awalipua wanariadha

Mwanariadha wa zamani, Juma Ikangaa, amesema wanariadha wengi wa Tanzania wanaponzwa na kutokuwa wakweli, huku akibainisha kuwa kutokuwapo kwa mkimbiaji wa mbio ndefu, Samson Ramadhan kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola msimu huu ni pigo kwa Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ikangaa: Wanariadha wamuenzi Theresia

Bingwa wa zamani wa Afrika wa marathoni, Juma Ikangaa amewataka wanariadha wa Tanzania kumuenzi Theresia Dismas ambaye alikuwa Mtanzania wa kwanza kunyakua medali katika Michezo ya Afrika.

 

11 years ago

GPL

YANGA WAISHANGAA CECAFA

Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil, Coutinho (7) akipasha na wenzake. Uongozi wa klabu ya Young Africans leo umefanya mkutano na waandishi wa habari juu na kusema kilichofanywa na waandaji wa michuano ya Kombe la Vilabu Bingwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuiondoa timu isishiriki ni cha kushangaza sana na kinadidimiza soka kwa ujumla. Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu amesema walipata barua ya mwaliko wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi waishangaa Ukawa

WASOMI mbalimbali nchini wamewatahadharisha wananchi kwa kusema nchi haijafikia wakati wa wanasiasa kutaka kushinda uchaguzi kwa gharama yoyote, hata kama hawana misingi ya utawala bora.

 

11 years ago

Mwananchi

Ikangaa apigiwa debe ‘kumrithi’ Malinzi uenyekiti wa BMT

Mwanariadha wa zamani , Juma Ikangaa anatajwa kurithi nafasi ya uenyekiti  wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) baada ya Dioniz Malinzi kumaliza muda wake wa miaka mitatu juzi Jumapili.

 

11 years ago

Mwananchi

Uongozi Yanga waishangaa TFF kumzuia Okwi

>Uongozi wa Yanga umeshangazwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumzuia mshambuliaji wao Emmanuel Okwi kucheza Ligi Kuu inayoanza kesho.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar, Prison, Azam waishangaa Simba kutofuata taratibu za usajili

Klabu za Mtibwa Sugar na Prisons zimeutaka uongozi wa Simba ya Dar es Salaam ufuate utaratibu kama unataka kuwasajili baadhi ya wachezaji wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani